Series (Special thread)

Series (Special thread)

a70c42072c0f6676360c85876eb4f13c.jpg
mkae mkao wa kula
 
Niliwaambia mm hawakuelewa,ina story nzur ila inakosa kakiti cha kuunganisha matukio na uhalisia,ndio ilichonibore hicho,bora ww umeona kama mm,mi hua naangalia muv kwa umakini kama nafanya operation ya uzaz,hata muhusika akiangalia kamera kidgo yaan sekunde moja nitajua,
Mkuu yani mimi kakipande nikiwa sijaelewaaa narudia movie nzima..maana huwa nahisi Kuna kitu nimemiss
 
Naomba kuuliza, hivi game of thrones inaomeshwa siku gani na sangapi kwenye HBO. Nataka niiangalie kupitia kwenye television
 
long time sijapata muda wa kucheki hizi vitu,,kweli priorities zinabadilika wakati nilikua shabiki namba moja wa movies & series sipitwi
Ulaya vibibi na vibabu huwa vinaenda movie theatre kucheki movie.....
Vp ww uliacha?????umekuwa amaa.?..
Maana ulaya wenzetu ndohvyo
 
Mazee designated survivor mnaionaje...kwangu mim ni one of the best series kwa jinsi ilivyochezwa kiakili sana ..mtiririko wa matukio, kusalitiana kisiasa na kiuongozi daah noma sanaa ...kama kuna series nyingine za aina hii ..naomben kujua mazee, series ni kali sanaa.

#live_long_D.S

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna yule mlinzi wa rais(secret service) anaitwa Mike nimependa sanaa alivyoact aseee jamaa kakaba sana...
Alimwambia rais alivyopigwa risas akiwa kalazwa aache kumpa taarifa mkewe hahaha..."sir u need to tie in yo cycle"
Ni serie Kali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom