Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,098
Kwani we inakuhusu nini?Hapa mnaangalia series usiku kucha, kazi mnafanya sangapi au wengi wenu bado madependant
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani we inakuhusu nini?Hapa mnaangalia series usiku kucha, kazi mnafanya sangapi au wengi wenu bado madependant
Sent using Jamii Forums mobile app
Unalinganishaje tamthilia zenye ladha mbili tofauti!!??..... The 100 ni historic na science fiction... Breaking Bad ni drama na narcotics.... Unataka kufananisha netball na football kisa yote ni michezo eti!!???.... Linganisha hiyo breaking bad na Gotham city, El chapo, the wire, Narco ndio zenye aina moja...Sijui utamu wa namna gani unaoongelea ila watu wa namna yenu hamjaangalia BREAKING BAD ndo maana.
Na kweli sijaingiapo kitambo kidogo.
Siipendi,Yaani sitaki Hata kuitazama sijui kwa nini
Mmh. Naona humu ni kama Hollywood sana sana. May be ungejaribu kule kwenye Uzi wa Korean dramaKwa wale wapenzi wa Chinese dramas nipeni link ya VENGEANCE season 2.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua napakua tu kwanza then ndio nangalia japo story yake inaonekana kazi
Mbona ya kijanja sana..... May be hauielewi tuSiipendi,Yaani sitaki Hata kuitazama sijui kwa nini
Ipi??
Daah unanikumbusha mtu mmoja aliponda watu wanaoangalia mpira, group zima likamuangukia. This is life.Hapa mnaangalia series usiku kucha, kazi mnafanya sangapi au wengi wenu bado madependant
Sent using Jamii Forums mobile app
can't wait!Wale wa The Last Ship jamani tar 20 ngoma inaruka hewaniii