Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Duuh ngoja niicheki aiseeNimeona kama imetoka
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Duuh ngoja niicheki aiseeNimeona kama imetoka
Huyo jamaa sio aisee![]()
yuko na Mr isaac
Hiyo iko poa sana fuatilia story yake tu.Nimepakua Walking Dead... Nipo episode ya 3 daaah mizombi si mizombi daaah.... Nataka kujaribu series za kutisha tisha.... Siziangaliagi.... Vipi hii walking dead inatisha kweli!!?? Maana naona mizombi zombie ambayo Hata action haiwezi kufanya....
Ila ndo marafiki zetu ambao tuko nao kila siku mkuu...part of life tuHuyo jamaa sio aisee
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Hicho hicho kilinichosha...... Mara kafa Mara vuvuvuuuuuu huyu hapaAisee TVD inachosha,unapodhani inaisha kumbe Ndio inaanza. Nkaiweka chini
Kama ushaicheki muvi za Wisley Snipes zile za BLADE.... KUNA blade trinity Kuna mijamaaa inafyonza ubongo midamu nini.... Vile vile yaniKwa kweli sijaichek. But niliambiwa ni swaga za madude ya ajabu
Ndio nimeangalia episode moja nkaona inanizogoa... Naangali walking dead naona mizombi Hata kumove ni shida sasa sijui mbeleni huko yataongeza Spidi sijuiKuna mtu humu aliniambia nicheki the mist, nikajua boonge la kitu, ile inaanza tu najionea malue lue nikaitupilia mbali.
Shooter bwana ni nzuri ila naona inakosa ka kitu........ Connectivity ya matukio na kauhalisia flani... Mara vuvuvuuuuuu Memphis huyu hapa Mara daaah unangalia muvi mpaka unaona kabisa haya maigizo kama bongo movie... Story nzuri imekosa director mzuriSeason 2 lini inatoka??
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Aaaah mtajijua na mazombie yenu, mie walaaaa!!!Ndio nimeangalia episode moja nkaona inanizogoa... Naangali walking dead naona mizombi Hata kumove ni shida sasa sijui mbeleni huko yataongeza Spidi sijui
Ndio nazijaribu aseeeeee......Aaaah mtajijua na mazombie yenu, mie walaaaa!!!
Hiyo ni The Strain ndo ina mazombi hayo.The Mist si ndio ina mijamaaa ulimi kama ya nyoka nyoka flani..... Nimecheki episode moja...
We jamaa Walking Dead ndio Top series kama unapenda ZombieNdio nimeangalia episode moja nkaona inanizogoa... Naangali walking dead naona mizombi Hata kumove ni shida sasa sijui mbeleni huko yataongeza Spidi sijui
Ngoja nipakue mbili saa hiz then ikinikolea naipakua yteDrama,drama kweli aisee.
Dude moja amazing
Check episode moja au mbili...then utaona mwenyewe
Hapana hyo bado hata hawajajua nn kinawakumba huko nje,hata mm mwnywe mpka ep 6 sijajua kinachowauaThe Mist si ndio ina mijamaaa ulimi kama ya nyoka nyoka flani..... Nimecheki episode moja...
Niliwaambia mm hawakuelewa,ina story nzur ila inakosa kakiti cha kuunganisha matukio na uhalisia,ndio ilichonibore hicho,bora ww umeona kama mm,mi hua naangalia muv kwa umakini kama nafanya operation ya uzaz,hata muhusika akiangalia kamera kidgo yaan sekunde moja nitajua,Shooter bwana ni nzuri ila naona inakosa ka kitu........ Connectivity ya matukio na kauhalisia flani... Mara vuvuvuuuuuu Memphis huyu hapa Mara daaah unangalia muvi mpaka unaona kabisa haya maigizo kama bongo movie... Story nzuri imekosa director mzuri
Iangalia wati wanavyofight kwa ajil ya uhai wao,wanasavaiv sana aisee utaipenda mbele kuanzia season za mbele mbeleAaaah mtajijua na mazombie yenu, mie walaaaa!!!
The last ship ni hatari sana
Labda anafananisha na The Strain,Hapana hyo bado hata hawajajua nn kinawakumba huko nje,hata mm mwnywe mpka ep 6 sijajua kinachowaua
Baasi siicheckNiliwaambia mm hawakuelewa,ina story nzur ila inakosa kakiti cha kuunganisha matukio na uhalisia,ndio ilichonibore hicho,bora ww umeona kama mm,mi hua naangalia muv kwa umakini kama nafanya operation ya uzaz,hata muhusika akiangalia kamera kidgo yaan sekunde moja nitajua,
The walking deadAaaah mtajijua na mazombie yenu, mie walaaaa!!!