Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hata haieleweki Yaani...kila Ndio tumekomaa nayo hivo hivo. Tunausbiri msimu wa 3 tuone watatoa boko tena
Quantico niliangalia season1 nikaona utoto na uhindi mwngi....Mara timeingizwa ktk akili mtu anawaza Mara aaahmadi ktk kozi nikawa nikitaka kuangalia naandaa na panadol maana kichwa lazima kiume...nikaona ni fujo sasa....ahhhh hamna kitu muleeee
Mlioielewa mmeilewaje???
 
Kuna yule mlinzi wa rais(secret service) anaitwa Mike nimependa sanaa alivyoact aseee jamaa kakaba sana...
Alimwambia rais alivyopigwa risas akiwa kalazwa aache kumpa taarifa mkewe hahaha..."sir u need to tie in yo cycle"
Ni serie Kali sana
Mike ni hatari nigga,halafu yupo kwenye the last ship season ya 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom