Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Kama Domo anavyofikiri kwamba kiba kakodisha watu kwanini na yeye asikodishe watu wa kuja kumshangilia? Mbona alikodisha costa mbili kwenda kumzomea Bob Junior? Karma is a bi.tch what goes around comes around tutaheshimiana tu,amalize swimming pool kwanza maana akija kufulia atashindwa kujenga..
 
What goes around comes around...mimi ni mmoja wa wanaotamani huyu dogo afulie..sijui kwanini tu...bila shaka nitakuwa na roho mbaya tu...but to be honest,huyu kijana ana dharau sana siku hizi,hajui waliompandisha wanaweza kumshusha vilevile!

Asome alama za nyakati. Unajua unatakiwa uwe very smart kudeal na watu. Ukiwa superstar ujutahidi kuchunga maneno na matendo pia. Hii ni sawa na ukiwa kiongozi au hata chama cha siasa. Wananchi ndo kila kitu. Umma ukikukataa unaweza kukushusha hadi daraja 0! Washauri wa dogo wamueleze amekosea wapi, akiendelea kuvimba kichwa atapotea!
 
Kwa kweli leo ni aibu tupu

hivi kweli hakuna watu behind haya ya leo kwa diamond maana, hata music wake na davido ilibidi warudie maana imekuwa mbaya na mgeni Davido ameona kituko leo

Diamond usiwe na wasi you are the number one

kwa kweli lazima clouds watuambie wamepanga nini leo na mic kama vile walikuwa wanazima watu wasisikike wakirudia

shame shame watanzania kuonea wivu wanaofanya bidii kuendelea

ila labda kiba alileta watu na mabasi wamzomee hii sio kawaida kabisa, as amekosea nini wananchi hadi azomewe na ndie anayepeperusha nchi yetu now na kidaidi ya wote huko nje. imagine mbele ya TI na Davido.

Sasa inatakiwa Diamond aachane na hizi level za fiesta wamekudharirisha leo clouds fm na wapambe wao. as wamempa promo kiba makusudi na ma king or what ili wamdharirishe Diamond shame on them


******

UPDATE:

WAMEMTENDA DIAMOND NA KUMZIMIA MIC, NOW MCHEZO UMENOGA T.I KAWASHUSHUA LIVE KUWA WA FIX SOUND
KATOKA STEJINI, JAMANI MUNGU ANAJUA KUJIBU WATU WABAYA. KASEMA ANARUDI IN 30 SECONDS NOW NI MADAKIKA MENGI OYEEEEEE MUNGU WA DIAMOND HALALI

EEH NA WA TIMES FM

OYEEE TO DIAMOND WETU
tatizo la dimond ni kauli yake ya kusema yupo tayari kumsaidia ali kiba sasa hapo mashabiki ndio walikua wanaonyesha kua kiba si wakusaidiwa
 
Ukiona mtu kazomewa kabisa ujue ndo basi tena.... Afu Watanzania hatukurupuki jamani... Kilichotokea ndo picha halisi... Ngoma ikilia sana na ikalia sana basi ujue mwishowe sio mzur wandugu.. Tukubali waliomzomea wanakili timamu kabisa na hakuna aliye watuma.. Kama vipi tukubali matokeo
 
Tatizo la Diamond ni poor managment maskini,watu wanaomsaidia sio sahihi.hawamuelekezi vitu sahihi vya kufanya,kwa elimu yake na mazingira diamond aliyokulia na kwa stage aliyofikia,he urgently needs someone very smart kumsaidia otherwise we r going to loose anothergood boy,ata huyo alikiba alidrop kwa sababu ya poor mamagment,
wabongo atupendi shule ila shule inamaama yake tena kubwa,this is now happening kwa huyu dogo.hawa wakina babu sijui tale wanampoteza tu huyudogo,dogo kwenye media anaongea ongea tu,sikuhizi hata show zingine anazikacha, hapo unategemea nini kutoka kwa mashabiki wako.?waendelee kukupenda.?haya mambo sijui alikuba kakodisha watu wa kumzomea,ni kutafuta urahisi na excuses tu ila diamond kwa manemo yake na matendo,anapoteza mashabiki wake mwenyewe.otherwise hapa wa kumlamu ni meneja wake uchwara..haya mambo hata kwenye soka yapo,kamchezaji kakisha andikwa marambili mara tatu kwenye tugazeti uchwara ambatwa atabaadhi ya mikoa atufiki,utamkuta anaviimba.. wanatembea kama wamamajipu kwenye makwapa,mwsho wa siku wanazeekea hapahapa wakiugua namba za misaada zinapita wasaidiwe,angalia kama mrisho ngassa ndo hivo tena yuko jion,afu hapahapa bongo kwa ujingaujinga wake tu na kutojitambua,nadhani na poor managment ilichangia kumuua huyu dogo.poleni sana watanzania ila mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe kwa hili la dogo dimond tusitafute mchawi.
 
Kama Domo anavyofikiri kwamba kiba kakodisha watu kwanini na yeye asikodishe watu wa kuja kumshangilia? Mbona alikodisha costa mbili kwenda kumzomea Bob Junior? Karma is a bi.tch what goes around comes around tutaheshimiana tu,amalize swimming pool kwanza maana akija kufulia atashindwa kujenga..

Je wewe ndiye mgawa ridhiki?
 
Moja ya sifa kuu ya mashabiki wa huyo ni kundi flan la watu kama mahousigali,walioko kwenye balehe au kuvunja ungo na kama mtu ni mzima basi ni wale kula kulala,hawana muda wa kufikiria maisha.

Kwa wenye kujitambua/akili hawapendi mtu mwenye kujikweza kwa mambo ya kijinga.Leo habari zako za ngono zinakuwa ni habari za kitaifa kana kwamba ni yeye tu mwenye mapumbu.
 
Watu wanasema ana dharau,...hawasemi dharau gani hasa ....huu ni mwendelezo wa akili za kipoyoyo tulizozioea kuziona kwetu uswahilini....i.e mtu akifanikiwa unamuundia zengwee halafu unashindwa kulitetea.

Anyway_hata mm namkubali Kiba kuliko domo ila kwa hili mimi siko upsnde huo
 
Wabongo sisi ni wanafki sana, tena sana.

Hii dhambi tuikemee.
 
Diamond aanze kuwekeza mziki ushaanza kumuendea vibaya,ule mtaa alionunua Mwananyamala ajenge apartment nzuri hata flow nne apige fence/parking ya gari 10 aweke na ulinzi wa kutosha,na uhakika atakuwa anakula 6,000usd per month aache kuwekeza kwa kina wema na wapambe.
Ushauri kuntu
 
Moja ya sifa kuu ya mashabiki wa huyo ni kundi flan la watu kama mahousigali,walioko kwenye balehe au kuvunja ungo na kama mtu ni mzima basi ni wale kula kulala,hawana muda wa kufikiria maisha.

Kwa wenye kujitambua/akili hawapendi mtu mwenye kujikweza kwa mambo ya kijinga.Leo habari zako za ngono zinakuwa ni habari za kitaifa kana kwamba ni yeye tu mwenye mapumbu.
mdauuuuuuu KIKOSIKAZI
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom