Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

...................................... Fitina ya clouds leo ilikua kwa davido na times fm. Jaman leo ndo nimeamin ma-don wa mjini wanajua fitina...............................................

Umeeleza vema sana, ngoja nirudi nikakupe like, sasa naomba utudadavulie kidogo kuhusu fitna za ma don wa town! Am interested kujua walau kidogo! Ahsante!
 
Moja ya sifa kuu ya mashabiki wa huyo ni kundi flan la watu kama mahousigali,walioko kwenye balehe au kuvunja ungo na kama mtu ni mzima basi ni wale kula kulala,hawana muda wa kufikiria maisha.

Kwa wenye kujitambua/akili hawapendi mtu mwenye kujikweza kwa mambo ya kijinga.Leo habari zako za ngono zinakuwa ni habari za kitaifa kana kwamba ni yeye tu mwenye mapumbu.

!
!
mkuu umetisha mbaya.
 
Siwezi kuwa na wivu kwa mtu yeyote, kila mtu amezaliwa na destiny yake. Kitendo cha kuanza kuwaza kuwa mtu anaonewa wivu ni udhaifu mkubwa sana.Unajua hela ndefu wewe? Juzi Nimelamba contract ya mil 900 kwenye kampuni yangu nije nimuonee wivu mtu asiyejua kuandika jina lake vizuri?Acha ujinga

Poor comment of the day
 
Tatizo la Diamond ni poor managment maskini,watu wanaomsaidia sio sahihi.hawamuelekezi vitu sahihi vya kufanya,kwa elimu yake na mazingira diamond aliyokulia na kwa stage aliyofikia,he urgently needs someone very smart kumsaidia otherwise we r going to loose anothergood boy,ata huyo alikiba alidrop kwa sababu ya poor mamagment,
wabongo atupendi shule ila shule inamaama yake tena kubwa,this is now happening kwa huyu dogo.hawa wakina babu sijui tale wanampoteza tu huyudogo,dogo kwenye media anaongea ongea tu,sikuhizi hata show zingine anazikacha, hapo unategemea nini kutoka kwa mashabiki wako.?waendelee kukupenda.?haya mambo sijui alikuba kakodisha watu wa kumzomea,ni kutafuta urahisi na excuses tu ila diamond kwa manemo yake na matendo,anapoteza mashabiki wake mwenyewe.otherwise hapa wa kumlamu ni meneja wake uchwara..haya mambo hata kwenye soka yapo,kamchezaji kakisha andikwa marambili mara tatu kwenye tugazeti uchwara ambatwa atabaadhi ya mikoa atufiki,utamkuta anaviimba.. wanatembea kama wamamajipu kwenye makwapa,mwsho wa siku wanazeekea hapahapa wakiugua namba za misaada zinapita wasaidiwe,angalia kama mrisho ngassa ndo hivo tena yuko jion,afu hapahapa bongo kwa ujingaujinga wake tu na kutojitambua,nadhani na poor managment ilichangia kumuua huyu dogo.poleni sana watanzania ila mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe kwa hili la dogo dimond tusitafute mchawi.
Jaslaws at his his/her best!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli leo ni aibu tupu

hivi kweli hakuna watu behind haya ya leo kwa diamond maana, hata music wake na davido ilibidi warudie maana imekuwa mbaya na mgeni Davido ameona kituko leo

Diamond usiwe na wasi you are the number one

kwa kweli lazima clouds watuambie wamepanga nini leo na mic kama vile walikuwa wanazima watu wasisikike wakirudia

shame shame watanzania kuonea wivu wanaofanya bidii kuendelea

ila labda kiba alileta watu na mabasi wamzomee hii sio kawaida kabisa, as amekosea nini wananchi hadi azomewe na ndie anayepeperusha nchi yetu now na kidaidi ya wote huko nje. imagine mbele ya TI na Davido.

Sasa inatakiwa Diamond aachane na hizi level za fiesta wamekudharirisha leo clouds fm na wapambe wao. as wamempa promo kiba makusudi na ma king or what ili wamdharirishe Diamond shame on them


******

UPDATE:

WAMEMTENDA DIAMOND NA KUMZIMIA MIC, NOW MCHEZO UMENOGA T.I KAWASHUSHUA LIVE KUWA WA FIX SOUND
KATOKA STEJINI, JAMANI MUNGU ANAJUA KUJIBU WATU WABAYA. KASEMA ANARUDI IN 30 SECONDS NOW NI MADAKIKA MENGI OYEEEEEE MUNGU WA DIAMOND HALALI

EEH NA WA TIMES FM

OYEEE TO DIAMOND WETU

...mh ?! Unatatizo sio bure,assumption zako ndo unawalazimisha wote waamini hivyo hata kama hawa mkubali huyo star wako...
 
mkuu labda ni usingizi ndio maana unaandika hivi au labda mi ndo nausingizi ndo maana nasoma hivi.. Nway ntasoma tena kukicha labda ntaelewa.. Asante sana MzuriWewe..

!
!
mkuu mie nimerudia mara tatu hivi kusoma........teh teh teh smart phone hizi loh
 
Acha uongo
Diamond ni jembe ktk muziki huu kizazi kipya. Na ninavyomjua huyu jamaa atatoa kitu kingine kikali muda si mrefu kuwanyong'oshe wote waliomzomea. Jamaa nyimbo zake zinaburudisha watu wa rika zote, mashabiki wake na hata wasio mashabiki wake!
 
asante kiba umenitoa kimasomaso roho iliniuma sana dimond alivyokutusi eti yupo tayari kukusaidia nafikiri amejionea kua wewe inatakiwa umsaidie maana tayari kwisha habari yake
 
Back
Top Bottom