Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

umekurupuka kijana wangu, kwa hiyo kikwete ana mandate ya ku facilitate uvunjifu wa sharia na taratibu za nchi?? kama uko Tanzania nakuomba ulale sababu ni usiku sana east Africa muda huu, inawezekana usingizi unakusumbua

Hujui maana ya amiri jeshi mkuu wewe ndo maana unasema kaka by the wat wewe ndo utakua umekurupuka yani kikwete akisema wamwache hawawezi kumfanya kitu yule ndo kila kitu iwe police
.tpdf.hata tiss yule ndo final say kijana
 
Clouds wenyewe washamuona dogo si chochote wanataka kumrudisha mtu wetu tunayemtaka watanzania !! COME ON ALLY K FOR REAL ...THE BEST VOCALIST OF ALL TIME !!! TEAM DANGOTE WAPI !!! WATU KIBA KIBA KIBA KIBA KIBAAAAAAAA NDO TUSHAANZA SASA !! THE KING IS BACK
 
Clouds wamekodisha wahuni wa kumzomea Diamond na kumshangilia Kiba
 
Kama ni hela ndefu kwako ilikuwaje ukasema watu wanaona wivu kwa hela ndefu? Kichwa maji sana

Mimi ni mtanzania wa kawaida, na watanzania wa kawaida kwetu sisi hiyo ni hela ndefu. Sijui wewe 'Bill Gate' kama kwako ni ndogo kivyako. We kweli unanithibitishia kuwa ni kuku wa kisasa tena wa nyama. inasikitisha baadhi ya binadamu siku hizi kama wewe common sense doesn't make sense anymore. Ila usihofu, matumaini yapo, common sense zako zitarudi tu. Nafahamu upstairs kwako kuna circuit short. Let me call it a night. Nikijibizana na wewe watu watadhani nami niko ka wewe.
 
Leo ngoja nilale nisikilizie kesooooo

Team Kiba tumechukua heshima yetu leo,good bye guys...
Itakuwa hatujawatendea haki endapo mtaenda kulala bila kuwashukuru wale wote walotoa noti zao kadhaa ili kurejeshea ktk zile alizopewa T.I
Wao ndio wamefanikisha mpaka na sisi huku tunaiona live.
ila mida ya asubuhi tusisahau kuwachangia hela za mihogo yya kunywea chai.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Itakuwa hatujawatendea haki endapo mtaenda kulala bila kuwashukuru wale wote walotoa noti zao kadhaa ili kurejeshea ktk zile alizopewa T.I
Wao ndio wamefanikisha mpaka na sisi huku tunaiona live.
ila mida ya asubuhi tusisahau kuwachangia hela za mihogo yya kunywea chai.

"Nlikuwepo":bolt:

Hhhhhaaaaaaaa pia wape pole kwa kusimama sanaaaa
 
What goes around comes around...mimi ni mmoja wa wanaotamani huyu dogo afulie..sijui kwanini tu...bila shaka nitakuwa na roho mbaya tu...but to be honest,huyu kijana ana dharau sana siku hizi,hajui waliompandisha wanaweza kumshusha vilevile!

kuombea mtu ambaye hajakukosea kwa wivu na wewe kuwa maskini ni vibaya hautapata maendeleo yako. wivu mbaya ulikua bae uswahilini na kuuza nae barabarani?

wivu mbaya laana
 
Nawapenda wote nakazi zao nazipenda. Ila Diamond ni noma mbayaaa huwezi kwenda kwenye sherehe nyimbo zake zisipigwe kwa hiyari ya DJ na kwamaombi maalum pia.
 
Watu wamekasirika kwa kuwa diamond aliongea maneno machafu sana kuhusu kiba, kuhusu video wala sio clouds walioiandaa, kwa hiyo Godwin gondwe alivokuwa anamkaribsha msanii wa Moro na kusema msanii pekee toka huko ni clouds wamepanga?
Acha hizo mambo.

Srma maneno hayo sio mnatunga

Diamond yupo juu haimbi nyimbo za bedroom anajua kuchanganya sio leo K kaishiwa pumzi

Na kiba ndio karudi kwa kutumia kuwa wana ugomvi uongo mtupu nalaxima wamewalipa watu hila kusahau wamezima mic kyharibu namba one ya diamond
 
Diamond mwenyewe kajisababishia,,, yeye badala ya kujikita kwenye kazi anaanza kujenga bif na mtu ambaye anamashabiki wake wengi tu,,, alitegemea nini hapo?

Hebu fikilia kama Diamond angekuwa kitu kimoja na Ally Kiba - ,,,

hizo ni dalili mbaya kwa soko lake la mziki,,,,
ni ishara kuwa anaanza kupoteza mashabiki wa mziki.

kama ataendeleza bif ategemee kuzama zaidi ya hapo.

Ally Kiba nae asijivimbishe bichwa kwa mashangwe ya fiesta ,, afanye kazi na aachane na ujinga wa kujenga bif na Diamond.

wote ni wanamziki wazuri tu.

Eeh wivu wa diamond awr na kiba iweje

Eeh kiba kamwe hatamfukia akivyo paa diamobd na,kupeperusha bendera yetu. He had is time kujarivu hayo na imeshasepa.

Kuimba sio kyimba tu na akiki ya business lazima iwrpi

Ok sema maneni gani alisema diamond? Interview? Weka link tusikulize
 
Back
Top Bottom