Kwa kweli leo ni aibu tupu
hivi kweli hakuna watu behind haya ya leo kwa diamond maana, hata music wake na davido ilibidi warudie maana imekuwa mbaya na mgeni Davido ameona kituko leo
Diamond usiwe na wasi you are the number one
kwa kweli lazima clouds watuambie wamepanga nini leo na mic kama vile walikuwa wanazima watu wasisikike wakirudia
shame shame watanzania kuonea wivu wanaofanya bidii kuendelea
ila labda kiba alileta watu na mabasi wamzomee hii sio kawaida kabisa, as amekosea nini wananchi hadi azomewe na ndie anayepeperusha nchi yetu now na kidaidi ya wote huko nje. imagine mbele ya TI na Davido.
Sasa inatakiwa Diamond aachane na hizi level za fiesta wamekudharirisha leo clouds fm na wapambe wao. as wamempa promo kiba makusudi na ma king or what ili wamdharirishe Diamond shame on them
******
UPDATE:
WAMEMTENDA DIAMOND NA KUMZIMIA MIC, NOW MCHEZO UMENOGA T.I KAWASHUSHUA LIVE KUWA WA FIX SOUND
KATOKA STEJINI, JAMANI MUNGU ANAJUA KUJIBU WATU WABAYA. KASEMA ANARUDI IN 30 SECONDS NOW NI MADAKIKA MENGI OYEEEEEE MUNGU WA DIAMOND HALALI
EEH NA WA TIMES FM
OYEEE TO DIAMOND WETU