Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Acha kulaumu Watanzania kwa kuto mshangilia ni uamuzi wao kufanya watakacho na usihusishe na unafiki wala kutafta visingizio wao ni timamu mbona clouds walipo kuwa wana mbeba hamkuongea diamond alipo jikwaa ajirekebisha hao ni mashabiki ndo wanaompanfisha mtu msitafte mchawi either kuna vtu afanyajo mashabiki wameona havi make sense ikiwemo kauli zake either beaf bado ana nafasi ya kufika.mbali aangalie tu sehemu ambayo hakwenda sawa
 
Kauli hii ya diamond ina maana kubwa sanakuna yoyote anaefaham chochote atujuze .sababu sio kauli ya kawaida kuna jambo linaendelea kwa wale wapambe wa karibu tufahamisheni
 
Kapigwa BUUUUU,,,ha ha ha hawa ndio Wabongo bana 1413692249114.jpg
 
Watu wanadai ana dharau,, aliangalie hilo kuliko kukimbilia lawama na maneno ya kuzidi kuwakera watu.
Binafsi namwona Diamond kama mwanamziki mkubwa.
Lakini hiyo zomewa ni ishara mbaya ,, apatane na mashabiki ,, apige kazi.

wapenzi wa mziki sisi tunasubiri ngoma nzuri itoke tuburudike bila kujali nani kaimba,, so kitu cha msingi kwake aongeze bidii kwenye kazi yake.
 
Eeh wivu wa diamond awr na kiba iweje

Eeh kiba kamwe hatamfukia akivyo paa diamobd na,kupeperusha bendera yetu. He had is time kujarivu hayo na imeshasepa.

Kuimba sio kyimba tu na akiki ya business lazima iwrpi

Ok sema maneni gani alisema diamond? Interview? Weka link tusikulize

mkuu labda ni usingizi ndio maana unaandika hivi au labda mi ndo nausingizi ndo maana nasoma hivi.. Nway ntasoma tena kukicha labda ntaelewa.. Asante sana MzuriWewe..
 
Wabongo wanashabikia uhuni wa clouds, Clouds wanataka wasanii wawe cheap ili waweze kuwanyonya vizuri...washaona dogo anapaa hivyo anawapanda kichwani...kumbukeni zile saga za kugomea fiesta zao mikoani akitaka dau refu...
Wanajifanya kumpromote Kiba ili amzime Dai...Mungu ataendelea kumuweka juu kama alivyomuweka Jide...

Yuko wapi Q chillah? Yuko wapi Cowbama? Historia ikataka irudiwe kwa Jide, akagoma kuwa historia, Na Daimond hawezi kuwa historiaaa....
 
Watanzania hatutaki tuone kijana mwenzetu kafanikiwa. Tuna wivu wa kuku dume. Wivu ndo wawasumbua wanaomzomea. Wanataka wote tubanane huku chini kwenye umaskini. Si mshabiki wake ila sioni haja ya kumchukia.

Watanzania hawana dharau, wanaupendo sana, ila ukionyesha dharau kwao!!" Ni shida,
 
Inabidi Dangote oanyeshe kama kweli hana bifu na kiba,vivo hivyo kwa kiba..
Tatizo watanzania tunaongea mengi bila kujua sababu. Ama inawezekana sababu tunazijua lakini kwa kuambiwa na watu wa karibu yao.
Wakiondoa tofauti zao,bila shaka tutawapandishaa tu kwa gharama yoyote ile.
Hata Kanumba alichekwa na wasanii wenzie ndipo tukafatia na sisi vibendera vifuata upepo.
Kumbuka hata kina joti na komedi yao walimuigiza,clouds nao wakafanya yao mpaka jambo likakua.
Kukiwa na upendo,yote haya yatabaki historia,huyo T.I mwenyewe huko kwao wanampiga vijembe kuwa kaja kuchukua ebola.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Pamoja ni kupewa promo lakini Diamond ndio kiboko yao, Kawakomoa Clouds leo
Asingeenda kabisa leaders ndio tungesema kawakomoa,ila kaenda na kaimba nyimbo tatu bado unasema kawakomoa? Nadhani utakuwa unatania.
Kila msanii kaimba nyimbo tatu na kushuka.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Huu upuuzi uwa siangaliagi nlilala fresh tu nimeamka ishaisha,siwezi kuua cells kukaa macho kutizama kina domo!
 
Njia pekee ya kumsaidia diamond kwa lililotokea ni kumwambia tabia chafu ya dharau alonayo, na kumuonya aache mara moja na sio kusingizia watu wengine. Waliomzomea ni watu waliotoka kwao, wakalipa kiingilio, wamesimama muda mrefu, huo mchezo wa clouds unatoka wapi?

Unajua me ndo natoka leaders mida hii. Nikiangalia coment za watu humu naona zimekaa kishabiki zaidi. Wala hakuna mchezo wowote ulofanyanyika ni uongo mtupu. Mfano mimi na wadau wengine tulikua mbele kabisa na baadhi tulimshangilia Diamond ila majirani zangu wengne wakamshangilia Kiba.

Kila msanii kaingia na mbwembwe zake. Kiba kaja kama mfalme,diamond kaja kama mwanajeshi na wengineo kila mmoja alikua anakuja na mbwembwe zake.

Sema kitu nilichokigundua kwenye tamasha si kwamba baadhi ya watu hawampendi Diamond kwasababu analinga,hapana.

Watu kutokumpenda Diamond ni kama utamaduni wa watanzania kutokuwapenda watu wenye mafanikio. Tuna kasumba niseme ni kama Nyerere katulithisha umasikini wa mawazo wa kuamini kwenye unyonge na umasikini kwa sera zake za ujamaa.

Hata ali kiba akiwa na mafanikio kama ya Diamond watu watamchukia bure kwa kusema analinga. Wabongo tunapendana tukiwa tunaonana hali zetu za kimaisha zinafanana ila akitokea wa kupata akapata basi ujue wale wasio na kitu watamchukia. Mifano ni mingi hata humu jf watu wa namna hiyo wamejaa kibao (ma-haters).

Hivyo vingine vya kusema clouds wamemuujumu ni upuuzi na utoto kuwapelekea lawama watu wasiohusika. Fitina ya clouds leo ilikua kwa davido na times fm. Jaman leo ndo nimeamin ma-don wa mjini wanajua fitina.

Otherwise fiesta imependeza vibaya mno. Leaders limejaa hadi likatapika. Ni sheedah.
 
Kauli hii ya diamond ina maana kubwa sanakuna yoyote anaefaham chochote atujuze .sababu sio kauli ya kawaida kuna jambo linaendelea kwa wale wapambe wa karibu tufahamisheni

Diamond naye ni muhuni kama wahuni wenzake.
 
Unajua me ndo natoka leaders mida hii. Nikiangalia coment za watu humu naona zimekaa kishabiki zaidi. Wala hakuna mchezo wowote ulofanyanyika ni uongo mtupu. Mfano mimi na wadau wengine tulikua mbele kabisa na baadhi tulimshangilia Diamond ila majirani zangu wengne wakamshangilia Kiba.

Kila msanii kaingia na mbwembwe zake. Kiba kaja kama mfalme,diamond kaja kama mwanajeshi na wengineo kila mmoja alikua anakuja na mbwembwe zake.

Sema kitu nilichokigundua kwenye tamasha si kwamba baadhi ya watu hawampendi Diamond kwasababu analinga,hapana.

Watu kutokumpenda Diamond ni kama utamaduni wa watanzania kutokuwapenda watu wenye mafanikio. Tuna kasumba niseme ni kama Nyerere katulithisha umasikini wa mawazo wa kuamini kwenye unyonge na umasikini kwa sera zake za ujamaa.

Hata ali kiba akiwa na mafanikio kama ya Diamond watu watamchukia bure kwa kusema analinga. Wabongo tunapendana tukiwa tunaonana hali zetu za kimaisha zinafanana ila akitokea wa kupata akapata basi ujue wale wasio na kitu watamchukia. Mifano ni mingi hata humu jf watu wa namna hiyo wamejaa kibao (ma-haters).

Hivyo vingine vya kusema clouds wamemuujumu ni upuuzi na utoto kuwapelekea lawama watu wasiohusika. Fitina ya clouds leo ilikua kwa davido na times fm. Jaman leo ndo nimeamin ma-don wa mjini wanajua fitina.

Otherwise fiesta imependeza vibaya mno. Leaders limejaa hadi likatapika. Ni sheedah.

hebu fafanua hiyo fitina kwa davido na times
 
Mimi si muumini wa nyimbo za washika suruwali mbele. na ninawachukia sana lakini hayu jamaa ndiye namchukia zaidi hana sifa ya kuigwa na mtu yeyote.mhuni, maraya,kiburi,majivuno,uchezaji usio na sitaha kiujumla hafai ktk jamii ya watu kama sisi rabda wapumbavu tu. Eti anailetea sifa
Tanzania we ----- kweli.
 
Back
Top Bottom