Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Mawazo kama haya ni ya watu wa Tanzania tu na kupeana vyeo vya umwinyi. Kuvaa sare kuna shida gani? First world watu wanatinga kama kawa na hakuna querry, bado sana nchi yetu
 
Clouds wamejifanya kumuua Diamond wameua shoo nzima watu wamechoka mazima hata Davido anaboa show inamalizika kifala sana sidhani kama Davido atarudi tena Bongo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Davido anakuja tena Nov 1,kwny show ya times fm!!
 
Ila bora ya T.I mwaka jana aliingia Roozey kwa mkwala mkubwa ila akaimba kidogo.Sijui mifuta iliyeyuka?Bora T.I anapumzi.
 
Hhhhaaaaa TI noomaaaa, nyimbo anazoimba sasaa uwiiiii anazijua yeyee mi angekuja Chriss ningepata vya kuimbaa
Ti umewatesa wenye viingreza vya kuokotezaaaa mweeeee
 
kwani hujamuona bwana almasi na yeye akijicock kikomando mpaka na bastola,Iyo nafasi almasi alikuwa amekodishiwa tu na king wao ndo Iyo karudi prince lazima achuje tu

Okei, ila Diamond kisha kusanya mpunga mwingi tu. Kiba ili afanikiwe aende kidogo kimataifa na atengeneze video za kukubalika. Ngoja tuone huyo King aliyerudi.
 
Sikuwahi kumjua huyu T.I na wale sijui anachoimba ila mziki wake unasikilizika tofafauti na wale wa daresalaaaaaaaam....
 
Diamond mwenyewe kajisababishia,,, yeye badala ya kujikita kwenye kazi anaanza kujenga bif na mtu ambaye anamashabiki wake wengi tu,,, alitegemea nini hapo?

Hebu fikilia kama Diamond angekuwa kitu kimoja na Ally Kiba - ,,,

hizo ni dalili mbaya kwa soko lake la mziki,,,,
ni ishara kuwa anaanza kupoteza mashabiki wa mziki.

kama ataendeleza bif ategemee kuzama zaidi ya hapo.

Ally Kiba nae asijivimbishe bichwa kwa mashangwe ya fiesta ,, afanye kazi na aachane na ujinga wa kujenga bif na Diamond.

wote ni wanamziki wazuri tu.
 
Huu wimbo anaoimba sasa hivi naelewa neno moja tu nalo ni Bugarri.
 
Njia pekee ya kumsaidia diamond kwa lililotokea ni kumwambia tabia chafu ya dharau alonayo, na kumuonya aache mara moja na sio kusingizia watu wengine. Waliomzomea ni watu waliotoka kwao, wakalipa kiingilio, wamesimama muda mrefu, huo mchezo wa clouds unatoka wapi?

Naomba kujulishwa, Diamond ni dharau gani kaonyesha kwa watu? Sifahamu kwa kweli.
 
hiyo ndo hiphop?kazi mnayo washabiki wa mziki,mimi huyi TI sijui ndo namuona na kumsilikiza kwa mara ya kwanza
 
Back
Top Bottom