Watu wanamsubir Ally kiba inasemekana atapanda tena baada ya TI kuimba
We are still waitng our artist nampenda saana Ally kiba nipo tayar nimpe dada yangu Miss Chagga au Dinazalde au kama yupo tayar miss strong
mpaka sasa KIBA amashagwe nyingi. nafikili na yeye wange mpanga mwishoni mwishoni ili kupunguza hizi kelele. watu kama hawaja ridhika jamaa kushuka kwenye stage
Jamaniiii,hadi najisikia vibaya looh leo ndomo ataliaje???
hapa najiuliza kama kweli naweza kutoa hela zangu kwenda kumtizama davido akiperform, bora hata show ya bibi bomba
Watanzania hatutaki tuone kijana mwenzetu kafanikiwa. Tuna wivu wa kuku dume. Wivu ndo wawasumbua wanaomzomea.
Domo hadi davido kambeba lakini habebeki tena huyu kwisha habari yake
Kinachoendelea hapa leaderz watu wamechoka na huu mbanano tusiopenda shida tumerudi nyuma walau tuepuke harufu za vikwapa.
Kwa kweli leo ni aibu tupu
hivi kweli hakuna watu behind haya ya leo kwa diamond maana, hata music wake na davido ilibidi warudie maana imekuwa mbaya na mgeni Davido ameona kituko leo
Diamond usiwe na wasi you are the number one
kwa kweli lazima clouds watuambie wamepanga nini leo na mic kama vile walikuwa wanazima watu wasisikike wakirudia
shame shame watanzania kuonea wivu wanaofanya bidii kuendelea
ila labda kiba alileta watu na mabasi wamzomee hii sio kawaida kabisa, as amekosea nini wananchi hadi azomewe na ndie anayepeperusha nchi yetu now na kidaidi ya wote huko nje. imagine mbele ya TI na Davido.
Sasa inatakiwa Diamond aachane na hizi level za fiesta wamekudharirisha leo clouds fm na wapambe wao. as wamempa promo kiba makusudi na ma king or what ili wamdharirishe Diamond shame on them
Fiesta mbovu hii sijapata kuona. Hovyo kabisa
Si ajabu ali kiba kaimba bure au kapewa elfu hamsini.. Kwa promo aliyo pewa leo ni balaaa... Ni hakunaga...!!
Beef la kiba ndio linamuua diamond kimuziki i seee