Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hilo sufuria ni kubwa mno kusonga mtu mmoja.Anavunjikaje
Labda akavunje tendegu
Yeye na ugali
Wote wanaenda kuliwa
Chezea ndoa wewe![]()
hahahaha,sawa nyie endeleeni kulaVizuri kula na wenzio.
Mila sio nzuri
Hata hivyo mimi sio mzalendo kihivyo![]()



acha hizo bhana dea.Ninalo ndiyoWewe unalo
Onyesha tuone
KwendaaNa kweli
Tena kama wewe
Sijui ubaruku au kapunga![]()
Hahahaacha hizo bhana dea.
Jamaa alisemaje?Tulifurahi sana![]()





Dada hataki usumbufu


Ningezimia mapema sanaMimi nimekuuliza ulipaswa unijibu kuna mahala nimeandika ndege ilitua baharini? anyway Hudson River, New York ndege ilitua majini na hakuna hata abiria alifariki zaidi ya majeruhi.
Unafahamu retractible landing gear na fixed landing gear? ili nikueleweshe vizuri..
![]()
Wee hebu nitolee balaa lako huko, wee ni dogo kaa kwa kutulia. Msieeeeew,Jeez… Niombe msamaha you offended me.. I voted for Mkapa twice.





Dah kweli wee portable😍😍😍😍
Nimekumbuka mbali, nlikua star wa rede, mdako, mputa. Acha kabisaa, yaan full kufunga magoli. Tena rede ya vijiti au mchanga uwiiiiiih.Pika kwanza,tuone
Labda bamia likianza kuiva uweke huo mchicha,,,,nipo nje nacheza rede vikiiva uniite
Sent using Jamii Forums mobile app






Dada hataki usumbufu![]()









Nilimfata mtu 😁😁Mbezi Usiku
![]()