Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,375
Pole sana kwa sababu kama ni jino kweli limekubali muziki wake si wa kitoto. Umepata dawa?
Pole sana kwa sababu kama ni jino kweli limekubali muziki wake si wa kitoto. Umepata dawa?
Ungeuliza ungeelekezwaSijui kujibu jamani![]()
Ndio maana mnatetewa lkn mara nyingi ninyi ni chanzoAh sahihi .
Huwa mnajua kuficha mambo sie ke ndo kutwa tunalalamika ...
Ndio maana yake
Ili ukachakatwe vizuri
Umwambie na saint anna
Ili somo limuingie

Sawa,next time nitajitahidi kuulizaUngeuliza ungeelekezwa
Dah!Sijui kujibu jamani![]()





Chanzo cha ugomvi au kuachana inaweza ikawa kwa yoyote kati ya me au ke .Ndio maana mnatetewa lkn mara nyingi ninyi ni chanzo
Aaah nimeshashika tayari, kagoti hako kanapigwa bila tatizo kabisaDah!
Hata salamu tu hujui jamani?
Ungepaswa kujibu īminza bageshi. Tena na kagoti ka heshima upige![]()
Pilots are trained to not panic halafu they are paid to do it.Yeah! He became a celebrity mpaka akatengenezewa na movie. Na episode yake ya Air Disasters yeye na abiria wanavyoelezea jinsi msala mzima ulivyokuwa inavutia sana.
Nyie marubani aisee mna moyo mgumu sana. Huwa sina amani kabisa kwenye ndege yaani na huwa sitaki hata kuwe na turbulence ya aina yo yote....
View attachment 2228689
Sahihi kabisaChanzo cha ugomvi au kuachana inaweza ikawa kwa yoyote kati ya me au ke .
Me pia anaweza pelekea mahusiano yakavunjika kabisa .
Mahusiano yapo complicatedSahihi kabisa
Yah mnaweza gombana kwa kitu kidogi sana.Mahusiano yapo complicated
Mnagombana huku kumbe kuna nguvu giza
Tuombe Mungu atuongoze katika hilo
Aisee,ndiyoPole sana kwa sababu kama ni jino kweli limekubali muziki wake si wa kitoto. Umepata dawa?
Yah mnaweza gombana kwa kitu kidogi sana.
From there kila mtu anapiga kimya..
Baadae sana unagundua ulikosea na ndo haswa mtu sahihi.
Kurudi uombe radhi unashindwa na ndio imetoka hivyoo
Pole sana
Naam nioitangulia kusema hapo juu.Ah sahihi
Kitu kisicho na maana kabisa
Ah Mungu atusaidie atupe mioyo minyenyekevu
Tuache ubishi hasa sisi tulioambiwa tutii
Ah upo sahihiNaam nioitangulia kusema hapo juu.
Mnyenyekevu haachiki kirahisi
Tatizo nini rafiki
Ni gego au ?