cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Nameza madini mkuuu!! Tupeee tupeee tena na tenaaaa!!![]()




Jidanganye hivyo hivyo.Nameza madini mkuuu!! Tupeee tupeee tena na tenaaaa!!![]()




Jidanganye hivyo hivyo.Niko poaaa, nawa zoom na mada za ndoa na mahusiano. Mko vizuri.Hahaha
Vipi mzima ?
Chizi kabisaa wee, UE muda huu?




Ah kumbe upo hapa ebu njoo hapa chini nipo kwenye bodaboda yanguNiende wapi!
Nipo hapaView attachment 2228945View attachment 2228947
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Passenger jets siku hizi zipo designed ku float kwa muda mrefu tu kwa ajili ya emergency evacuation kufika na kuokoa watu.Ningezimia mapema sana
Yaani natoka angani,naenda kwenye maji akiyanani.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mbinu nzuri haha
Kitendo tu Cha kujua tu kuwa tunaenda kwenye maji yaani mimi chalii.Passenger jets siku hizi zipo designed ku float kwa muda mrefu tu kwa ajili ya emergency evacuation kufika na kuokoa watu.
Harudi TenaMbinu nzuri haha
Jamaa hapo hapo kaaga

Alafu hapa sio salama usiku, ni hatari. Wafanye waweke taa haraka sana.. usiku wanakaa vibaka vibaka wadokozi na matapeli.. nilienda usiku hiyo juzi nimekaa tukaja tujamaa tuwili tunataka kunitapeli hata kuongea havijui, naona havito nisahau huko vilipo maana kwanza walinikuta kichwa cha motoNiende wapi!
Nipo hapaView attachment 2228945View attachment 2228947
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ah wapiNiko poaaa, nawa zoom na mada za ndoa na mahusiano. Mko vizuri.
Kupindua mezaMabwana wapo kibao ila wanaume tuna hesabika.. Kumjua bwana ni rahisi tu na kumjua mwanaume kipengelee na hapa ndio kunakuwa na wa hanga wengi... Alafu wanawake vidomo domo siku hizi wamezidi mwanke kutoka na mwanaume wa mwenzake anaona ufahari au kupindua meza anaona ufahari .. kuna vurugu mingi sana, ndio maana wanawake Walimu , Manesi ( wanao toa sana huduma kwenye jamii ) wana nafuu ila wengine hawaa Mungu saidia, ila sijui naandika nini hapa kweli leo kichwa ya moto
![]()




Aah nimeionaBila Emoj
Mjep nimekuviziaView attachment 2228971
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Panda tu hapa juu utanikutaAh kumbe upo hapa ebu njoo hapa chini nipo kwenye bodaboda yangu
Jidanganye hivyo hivyo.
Khaaaah shosss!Chizi kabisaa wee, UE muda huu?
Umepatwa na nn?



Bwana Yesu Asifiwe kitoto kizuri 😁😁Niko poaaa, nawa zoom na mada za ndoa na mahusiano. Mko vizuri.
Ah kabisa
Aah nimeiona![]()



