Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yani siku ya Kwanza tu nikuambie mi nyumbani migo migo kwa binyau.

Yani kwenye ubongo wako tiyari ku ta clik huyu Ni mswahili, pia Ni unga unga mwana.

Hahaha
Ndio bora mtu akupende kwa hali uliyonayo and not otherwise

Sema atakukamata wakati wa kumpa fair au akiomba cash .
 
Eh kwa nini
Nipe muongozo
Wadada wenye akili ukianza kumsumbua sanaa na ukawa na uchu atakutesa sana.

Njia hasa kwa jeuri kama huyu unajibu mapigo zaidi yake...
Hapo utamwachia maswali mengi mno.
Kuna uwezekano sasa yeye ndiye ataanza kukutafuta kwa bidii.
Hapo ndipo mwanaume anajifanya naye yuko busy haha
 
The miracle on the Hudson. Captain Sully Sullenberger aliupiga mwingi siku hiyo. Mungu Alikuwa naye
Jamaa alitisha sana, kuna ndege zimetengenezwa namna hio kuwa na uwezo wa kufanya emergence landing majini, kama hio A320 aliyokuwa nayo Sully, jamaa alikuwa very calm, hizi ndege una uwezo ku activate emergence landing kwenye maji ina 'ditch switch' ambapo ikiwa activated inafunga openings zote na ndege itaweza kukaa majini kwa muda mrefu masaa hadi masiku. ditching ni emergence landing procedure kama runway hakuna,

Ndege ilikuwa full tank, ilikuwa powerless tokana na bird strikes kwenye engine, abiria na mizigo lakini jamaa aliland majini safe na hakuna mtu alifariki, jamaa ni legend.
 
Wadada wenye akili ukianza kumsumbua sanaa na ukawa na uchu atakutesa sana.

Njia hasa kwa jeuri kama huyu unajibu mapigo zaidi yake...
Hapo utamwachia maswali mengi mno.
Kuna uwezekano sasa yeye ndiye ataanza kukutafuta kwa bidii.
Hapo ndipo mwanaume anajifanya naye yuko busy haha

Ah mnajua kucheza na akili zetu eeh
Maswali ni mengi hadi unaingia Google
 
Jamaa alitisha sana, kuna ndege zimetengenezwa namna hio kuwa na uwezo wa kufanya emergence landing majini, kama hio A320 aliyokuwa nayo Sully, jamaa alikuwa very calm, hizi ndege una uwezo ku activate emergence landing kwenye maji ina 'ditch switch' ambapo ikiwa activated inafunga openings zote na ndege itaweza kukaa majini kwa muda mrefu masaa hadi masiku. ditching ni emergence landing procedure kama runway hakuna,

Ndege ilikuwa full tank, ilikuwa powerless tokana na bird strikes kwenye engine, abiria na mizigo lakini jamaa aliland majini safe na hakuna mtu alifariki, jamaa ni legend.
Yeah! He became a celebrity mpaka akatengenezewa na movie. Na episode yake ya Air Disasters yeye na abiria wanavyoelezea jinsi msala mzima ulivyokuwa inavutia sana.

Nyie marubani aisee mna moyo mgumu sana. Huwa sina amani kabisa kwenye ndege yaani na huwa sitaki hata kuwe na turbulence ya aina yo yote....
Screenshot_20220517-174004_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom