Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbaya zaidi ukweni uko ukienda hata kama wanauwezo wa gas; mkaa ila utakuta wanakupeleka kwenye jiko la kuni ukaungue na Moshi si huwa wanaamaana gani? Au ndio huwa mnatafutiwa sababu
Kusonga ugali na jiko la kuni raha wewe,,,mikono yako yote inafanya kazi ya kupambana na mwiko.


Mimi hadi leo natumia kuni kusonga ugali maana sufuria inabana kwenye mafiga..hii inanirahisishia na kupunguza kazi ya kubana sufuria na mkono mmoja.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom