Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Nyie ndio huwa mnapotoshana kweli kweli.Ah upo sahihi
Sema mdomo huu unatupinza big time na ukipata ushauri toka kwa rafiki hapo ndo kabisa
Utasikia achana naye huyo ..shogangu we mrembo utapata bwana mwingine...wapi?
Mabwana ni wengi kweli lkn mume ni mmoja

