Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijui utakuwa umepata jibu?

Mathayo 21:28-31
28. Lakini mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa na wana wawili; akamwendea yule wa kwanza, akasema, mwanangu, leo nenda kafanye kazi katika shamba la mizabibu.

29. Akajibu akasema, Naenda, Bwana; asiende.

30. Akamwendea yule wa pili, akasema vile vile. Naye akajibu akasema, sitaki; baadaye akatubu, akaenda.

31 Je! Katika hao wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya babaye? Wakamwambia, Ni yule wa pili. Basi Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
Kwa kweli nimeelewa japo kwa uwezo wa ufahamu wangu.
 
Ahaaa, nimeelewa.
Mimeuliza hivyo maana kama tungekuwa tunahimizwa kwa mawazo nadhani tungekuwa sehemu mbaya mno kwa sababu tunayo waza yalio mabaya bila ya kutenda ni mengi sana.
Pamoja mkuu.. Wazo ( jaribu) au (temptation).. vinakuja, ila tunatakiwa ku filter kipi cha ku ki process na kipi cha kuachana nacho.. Mfano mwepesi, hapa naweza pata wazo la kwenda fanya masterbation kwa ku imagine labda dada wa mtaani kwangu.. nakuwa na maamuzi mawili niendelee na hilo wazi hadi nikafanye au niachane na ilo wazi niaifanye.. nikiachana nalo nipo safe ( sina kosa), ila nikaamue endelea nalo hadi kwenda kujilipua hapo kunakuwa na issue 😂😂😂😂😂
 
20220106_205311.jpg
 
Eti samahani kidogo hizi nyimbo haswa za dini au injili zipo kwaajili ya kutubu rudisha sisi ama kumburudisha Mungu, maana tunazijudge kwa vionjo vyetu?
Zinamtukuza Mungu na pia zinakunufaisha na wewe.
Zinatoa comfort fulani ambayo nashindwa kuielezea,,mfano mzuri ni "Tenzi za Rohoni".
Unapomsifu Mungu ,anashuka..nguvu zake zinashuka.
Unapomuabudu Mungu,kuna namna fulani unakuwa umejiunganisha naye ,inastimulate hali zetu za Kiroho.
 
Back
Top Bottom