Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lucifer alipigwa chini ila kuwaza tu kumchomoa Mungu kwenye enzi yake.. Wazo ni kama mbengu, huwezi fanya jambo lolote pasipo kuanzia wazo.. unacho ona mtu anafanya.. ni. matokeo ya wazo ambalo aliwaza then akali meng'enya kwa ubongo wake hadi likapata nguvu ya kutendeka
Kwa hio mkuu lusifa yalimkuta kwa kuwaza tu na wala hakuingia kwenye tendo
 
20220106_203231.jpg
 
Refer:
Isaya 14:13
Nawe ulisema moyoni mwako,....

Mungu anaangalia wazo.. Pumzi ya mwanadamu ni taa ya Bwana.. pia neno liasisitiza.... tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo....

Angalia sana unachowaza.. ndio. maana hata kuzini.. ni pale unapo tazama kwa tamaa na ukaanza ku process.. tayari ni action.. ulimwengu wa roho... wazo ni object..
In the spiritual realm; thoughts are objects.
 
Ok, najaribu kuelewa nashindwa.
Labda niombe kujua tena je unaweza kuhukumiwa kwa mawazo? Kama ni ndio vipi kwa mawazo yanayoghairishwa?
Ayubu 3:25
Maana jambo hilo nichalo hunipata, Nalo linitialo hofu hunijilia.

( Tafsiri nyepesi ), anasema jambo ambalo huliwaza ( thinking, meditate) ndio ambalo hutokea ( humtokea).. action ( manifestation ya wazo)


Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wivi, ushuhuda wa uongo, na matukano;

Solution
2 Wakorintho 10:5
tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo;

Wazo lolote baya usilichezee, piga chini 😁😁
 
Ok, najaribu kuelewa nashindwa.
Labda niombe kujua tena je unaweza kuhukumiwa kwa mawazo? Kama ni ndio vipi kwa mawazo yanayoghairishwa?
Sijui utakuwa umepata jibu?

Mathayo 21:28-31
28. Lakini mwaonaje? Mtu mmoja alikuwa na wana wawili; akamwendea yule wa kwanza, akasema, mwanangu, leo nenda kafanye kazi katika shamba la mizabibu.

29. Akajibu akasema, Naenda, Bwana; asiende.

30. Akamwendea yule wa pili, akasema vile vile. Naye akajibu akasema, sitaki; baadaye akatubu, akaenda.

31 Je! Katika hao wawili ni yupi aliyefanya mapenzi ya babaye? Wakamwambia, Ni yule wa pili. Basi Yesu akawaambia, Amin nawaambia, watoza ushuru na makahaba wanatangulia mbele yenu kuingia katika ufalme wa Mungu.
 
Ok, najaribu kuelewa nashindwa.
Labda niombe kujua tena je unaweza kuhukumiwa kwa mawazo? Kama ni ndio vipi kwa mawazo yanayoghairishwa?
Temptation ( sio dhambi), ila uki entertain inageuka na kuwa dhambi.. sasa hivi likija wazo la kuiba, ( jaribu), ilo wazo naweza li entertain hadi nikaiba kweli ( kosa dhambi), pia linaweza likaja pia nikalifuta maana nimeshinda jaribu.. so kuwaza inakuja kuwa kosa pale unapo furahia hilo. wazo na hasa kama ni baya,
 
Temptation ( sio dhambi), ila uki entertain inageuka na kuwa dhambi.. sasa hivi likija wazo la kuiba, ( jaribu), ilo wazo naweza li entertain hadi nikaiba kweli ( kosa dhambi), pia linaweza likaja pia nikalifuta maana nimeshinda jaribu.. so kuwaza inakuja kuwa kosa pale unapo furahia hilo. wazo na hasa kama ni baya,
Ahaaa, nimeelewa.
Mimeuliza hivyo maana kama tungekuwa tunahimizwa kwa mawazo nadhani tungekuwa sehemu mbaya mno kwa sababu tunayo waza yalio mabaya bila ya kutenda ni mengi sana.
 
Back
Top Bottom