Nipo nimelala nasubiri habari za mjini 😁😁😁Hahaha... Nakusikiliza hata sina neno! Niambie
Saa 6 hii bado umelala dohh... ngoja tusubiri wenye habari waje watupe muongozo!Nipo nimelala nasubiri habari za mjini 😁😁😁
😁😁 Weekend leo inabidi leo wana selfika tu poiny kiwanja kimoja amazing tukutane tupige vyombo pakaa kucheee kucheeeSaa 6 hii bado umelala dohh... ngoja tusubiri wenye habari waje watupe muongozo!
Weekend mapemaaa ausio! Mtanipa location basi!😁😁 Weekend leo inabidi leo wana selfika tu poiny kiwanja kimoja amazing tukutane tupige vyombo pakaa kucheee kucheee
Tupia Selfie ya mchana basii!Weekend leo inabidi leo wana selfika tu poiny kiwanja kimoja amazing tukutane tupige vyombo pakaa kucheee kucheee
Ngoja nihamuke basi 😂😂😂... asubuhi umeweka picture na kuondoaTupia Selfie ya mchana basii!
😁😁😁😁 Pole sana mkuu... Labda uje tupige bear hapa badae zikiisha kichwani mawazo kama kaziWangapi huku tunatakiwa kulipa ada tujuane na tufarijiane
chagua kiwanja alafu wengine watatukuta huko 😊😊Weekend mapemaaa ausio! Mtanipa location basi!
Kweli aisee, aliegundua pombe abarikiwe sana.Pole sana mkuu... Labda uje tupige bear hapa badae zikiisha kichwani mawazo kama kazi
☺️☺️☺️ nyakati kama hizi zinaokoa sanaaa.. ukizipuliza vizuri unarudi zako home unalalaaa zako, ukishtuka zimeisha unakamata ndogo ndogo unazimua hadi upate solutionKweli aisee, aliegundua pombe abarikiwe sana.
One team , one dream .#foreverandalwaysView attachment 2070421
Ni procyclic trypomastigote wakitoka kwenye gut,, kwenda kwenye salivary gland and multiply and wakifik wanabdilika kuwa metacyclic trypomastigote na ukipigwa bite na mbung'o basi unapata malaleTafadhali
Naomba unifafanulie namba 8 hai'onekani hapo.
Pia kama kuna next page inayo onesha finalization ya mchakato wa ugonjwa pia tuma mkuu
Anaanza kupata dalili za ugonjwa,, Baada ya trypomastigote kutoka kwenye spinal fluid na kuingia kwa damu ndo inakuwa diagnostic stageTafadhali
Naomba unifafanulie namba 8 hai'onekani hapo.
Pia kama kuna next page inayo onesha finalization ya mchakato wa ugonjwa pia tuma mkuu
hamna kitu hapo.. 😂😂😂 mna hasara tupu.One team , one dream .