Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
hamna kitu hapo..mna hasara tupu.


timu kubwa ya wapi 😂😂😂😂.. ya Mo Energy
Wewe wasema , sisi ni timu kubwa .
Leo kama unavyo ona wiki imeisha aseeFresh tu , habari ya leo rafiki .
Simba inaanza wengine wanafuata nyayo zetu ...timu kubwa ya wapi.. ya Mo Energy
Mungu ni mwema ,hakika week inaishia .Leo kama unavyo ona wiki imeisha asee
chama cha mikia 😂😂😂Simba inaanza wengine wanafuata nyayo zetu ...
Karibu chamani .
Hakika Mungu ni mwema sanaMungu ni mwema ,hakika week inaishia .
AmenHakika Mungu ni mwema sana
Mabingwa mara nne mfululizo sisi.chama cha mikia![]()

Ubingwa wa kununuaMabingwa mara nne mfululizo sisi.
Simba![]()
![]()
Ah wapi ,hatuna mambo hayoUbingwa wa kununua
😁😁😁 weeizi nyie 😂😂😂Ah wapi ,hatuna mambo hayo
mmezoe kubebwaaUtuache sisi![]()
Mbona nyie pia mnabebwa ?mmezoe kubebwaa
#foreverandalwaysView attachment 2070421
Tubabebwa na nani? kwanza hamna maajabu nyie 😂😂😂Mbona nyie pia mnabebwa ?