Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Kakufa au
Napatwa na kigugumiziGood morning wanselfikaView attachment 2070263

Hata kama ungekuwa nayo sidhani kama una sababu ya kufanya hivyo.
Leo umeinyaka.Napatwa na kigugumizi![]()
Daaha, umepata kutoka kwa mchungaji gani?Nilimwaga maji ya upako kuzunguka nyumba nimeamka nimekutana na huyo kafa
Yaani mchana kabisaaKumbe ni konzi OG!! Sita kasoro![]()

Nimeinyaka yamoto sanaLeo umeinyaka.
kuna mtu anapumzika pazuri
Kwa zama zetu hivi ni adimu mnoVitu adimu sana hivyo
Niko poa mdada. Hofu na mashaka ni kwako weye
unazijua eeh.. kumbe ☺️☺️Embe spunda hizi.![]()
Unashabikia kibudu cha Mo Energy 🤣🤣🤣#foreverandalwaysView attachment 2070421