Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yanii humuuu kuna matatizo makubwa sana!!
Mfano yale mambo ya penseli eti mie ndio namtuma awanange kuhusu jamaaa mtu tulishaachana miaka nenda rudi akawa na list ya wanawake kibaoo humu hata jf seva shahidi Mtu nishamove on na maisha Yangu nae anaendelea zangu kuselfika zanguu kwaraha zangu mieee na life lake huko Kwamba hadi leo namtuma Penseli kwao what for???????? Namuogopa nani labda???? Namuogopa nani labda???
Ili nipate nini yani??? Mbona habari wanazijua Wengi humu na hakuna asiejua Kwanini nimtume Penseli????
Nazile dislikes jf nzima nilikua namtuma??? Mbona watu kibaoo humu wanaropoka ropoka tu kama vichaa na kuvamia na hamsemi wanatumwa nanani nyieee msiniletee bange zenuu tasavaliii!!!
Kwahio Na hao ambao hadi wananitag nao wanetumwa nahao???
Ongezaaaa sautiiiii shouzzzzzzzz, ndo nimeingia sasa na mabegi nishatua.
 
Yaani ni mambo ya ajabu kuna pdf nilitumiwa ni aibu watu wanatafutiwa kazi humu afu wakienda wanaunda convo wanaanza kusimulia jinsi walivyo wabaya sijui vifupi!!!

Yaani mpk unajiuliza hivi mwanaume mwenye akili timamu anaweza kufanya hivi?? Tena ukimuona umri umeenda kabisa na hilo nitalileta ngoja nitoke nilipo nirudi home nikawanywee nilishushe hapa leo wote wasutwe
weraaaaaa weraaaaaa
 
Afu mwamba kwenye chati kamtaja countrywide km ninavyomtaja mwenyewe kwa pozi “Kantri” nyie mambo haya

Kantri me sio mtu wangu wala nini ni chit chat tyuu hizi tunasogeza masaa yaende, wanaotaka kuruka naye wao wawe huru na kishmundu zote nimewapaaaa!!!
Hata Kama mnakulana kiukweli Mimi sioni shida pia.

Unajua unapomfata mtu! Kwa mfano Mimi nikikufuata wewe pm Ni ta deal na yangu tu Huyo cantry hutamskia kwenye mdomo wangu Wala maandishi yangu.

Sasa nahisi shida zinaanzia Mimi na kutaka wewe then namkandia jamaa na sijui level ya undungu na mahusiono yenu.

Na kikubwa kabisa friji za wana jf hazigandishi hili ndilo nililoliona pakubwa
 
Wee babu Afu mbona habari zako kukuhusu humu zipo nyingi sana ujue naona wameamua kutuchafua sisi tu!!

Sema Nakuheshimu sana babu yangu najua panapo wazee hakukosekani busara!!
Barikiwa sana babuu yetruuuu!!

cocastic shougaaangu unapitwaaa hukuu sitaki kusutwa mimi njoo ujionee majengeakaaa !
Shouzzzzz ndo nakujaa sahiviiiii,
Naona mikeka ilishushwaaa, hebu nipe codes bas.
 
Maelezo yako hayaeleweki kifupi una kesi ya kujibu
Maelezo nimeyatoa sana, unajua sijui nisemaje labda wao kina depal na darlin waseme kama tunajuana.

Ni huyu dogo ndio naamini alikua akikuambia huu ujinga na uongo toka zamani kwa fake id

Sijui alifikiria nn.
 
Hii story ipo upande mmoja ndiomana inachanganya ilitakiwa huyu kipenseli kilichokosa ufutio kije kikamilishe chat zilizomiss na jina la mwenzie waliyekuwa wanachat wote!! Hapo tutampata mchawi vinginevyo ni vikundi vya watu vimeamua kuharibu kwa Penseli afu wamevutia kwao
Wee mgenii na selfika huijuii, tuulize wakongwee tukupe in4,

Manjegeka ya upande m1 ambao walishapanga nini kiletwee humu, hata sina mshipaa nao.

Selfika woyeeeeeee
 
Hata Kama mnakulana kiukweli Mimi sioni shida pia.

Unajua unapomfata mtu! Kwa mfano Mimi nikikufuata wewe pm Ni ta deal na yangu tu Huyo cantry hutamskia kwenye mdomo wangu Wala maandishi yangu.

Sasa nahisi shida zinaanzia Mimi na kutaka wewe then namkandia jamaa na sijui level ya undungu na mahusiono yenu.

Na kikubwa kabisa friji ziwana jf hazigandishi hili ndilo nililoliona pakubwa
Sio hazigandishi tu ni waongo wachonganishi wanaume kama waanwake na wanawake wamechoka hawana kazi wamebaki kuwapigia wenzao majungu Tu
Hawajielewi😂😂😂
Ngoja nilale jana nilikesha
 
Hata Kama mnakulana kiukweli Mimi sioni shida pia.

Unajua unapomfata mtu! Kwa mfano Mimi nikikufuata wewe pm Ni ta deal na yangu tu Huyo cantry hutamskia kwenye mdomo wangu Wala maandishi yangu.

Sasa nahisi shida zinaanzia Mimi na kutaka wewe then namkandia jamaa na sijui level ya undungu na mahusiono yenu.

Na kikubwa kabisa friji za wana jf hazigandishi hili ndilo nililoliona pakubwa
Huo ni uongo bro, watongozaji wengi huishia kuniponda huko walivyo wajinga.
 
Sio hazigandishi tu ni waongo wachonganishi wanaume kama waanwake na wanawake wamechoka hawana kazi wamebaki kuwapigia wenzao majungu Tu
Hawajielewi😂😂😂
Ngoja nilale jana nilikesha
Unalalaje file lako likishushwa nikuwakilishe
 
Back
Top Bottom