Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yanii humuuu kuna matatizo makubwa sana!!
Mfano yale mambo ya penseli eti mie ndio namtuma awanange kuhusu jamaaa mtu tulishaachana miaka nenda rudi akawa na list ya wanawake kibaoo humu hata jf seva shahidi Mtu nishamove on na maisha Yangu nae anaendelea zangu kuselfika zanguu kwaraha zangu mieee na life lake huko Kwamba hadi leo namtuma Penseli kwao what for???????? Namuogopa nani labda???? Namuogopa nani labda???
Ili nipate nini yani??? Mbona habari wanazijua Wengi humu na hakuna asiejua Kwanini nimtume Penseli????
Nazile dislikes jf nzima nilikua namtuma??? Mbona watu kibaoo humu wanaropoka ropoka tu kama vichaa na kuvamia na hamsemi wanatumwa nanani nyieee msiniletee bange zenuu tasavaliii!!!
Kwahio Na hao ambao hadi wananitag nao wanetumwa nahao???

Me nataka kumlipua mtu tulia, afu usipanic bana mbona kawaida kwani wanakutoa roho?? Afu hayo mambo yenu mbona hayaishagi emu Penseli aje jamani

Kukazwa kwa mwanamke kawaida anayeumia apeleke wa kwake Mxxiewwww
 
Saint Anne come this way unaitwaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค !! Kumbee nawewe mnaa au nimesoma vibaya???๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿค ๐Ÿค !!
 
Hahahhaha weka hapa tuone wote tafadhali. Maana kila mtu ana play victim humu ndani๐Ÿ˜‚
nibembelezeni niweke ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ msipo nibembeleza basi nabaki nayoo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….. mie naweka mzigo kama ulivyo mwingine ananimbia natunga how ? huo.mkeka uwasaidie usikae unacheka na mtu hapa badae anaenda kukuanzishia mikasa
 
nibembelezeni niweke ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ msipo nibembeleza basi nabaki nayoo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜….. mie naweka mzigo kama ulivyo mwingine ananimbia natunga how ? huo.mkeka uwasaidie usikae unacheka na mtu hapa badae anaenda kukuanzishia mikasa
Hhahahahah boss, weka tafadhali watu watoe yao ya moyoni.
 
Huyo mwanamke mwenzenu aache uchawi banaa.. Mie humu sina site na mambo za watu.. Nashusha mkeka sawa sawa na informer wanavyonipansiongezi hata nukta.. ๐Ÿ˜…
Kwahiyo Mjomba ni mwanamke mmoja ni mchawi,shidayake ni hasa tujue,?
sasa mie naleta mkeka watu wanageuza madaa.. basi acha nibaki nayo.. maana watu wana shindwa tafsiri wanaanzisha mengine .. ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… bye banaaaaa.. mikeka nitabaki nayo
Mjomba unatuchanganya nipe mm nikusaidie kuweka nitawaita mmoja mmoja na ulinz binafs utakuwepo file langu nitampa mtu anisomee nisikimbie nalo๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Back
Top Bottom