Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyo mwanamke mwenzenu aache uchawi banaa.. Mie humu sina site na mambo za watu.. Nashusha mkeka sawa sawa na informer wanavyonipansiongezi hata nukta.. 😅
Kwahiyo Mjomba ni mwanamke mmoja ni mchawi,shidayake ni hasa tujue,?
sasa mie naleta mkeka watu wanageuza madaa.. basi acha nibaki nayo.. maana watu wana shindwa tafsiri wanaanzisha mengine .. 😅😅😅 bye banaaaaa.. mikeka nitabaki nayo
Mjomba unatuchanganya nipe mm nikusaidie kuweka nitawaita mmoja mmoja na ulinz binafs utakuwepo file langu nitampa mtu anisomee nisikimbie nalo😀😀
 
Nachokishangaa ni wewe kupata taarifa. Kaka ulifatwa Pm au? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nani alikufata?
Hizo shots mbona mmoja kajisiliba asionekane? Ni nani?

Mpuuzi apuuzwe tu.
Kwahiyo ulitaka kuamini kabisa kuwa hazitanifikia.? Zilifika zote.

Huyo mmoja aliyejisilibia ndio kiini chenyewe, maana alikuwa anamjaza dogo ili aendelee kutiririka[emoji1].
 
Back
Top Bottom