Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 20,261
- 49,198
Kabisa na km hujawah pitia huwez kuelewa inauma sana tuHizi stories zinachekesha kama haupo kwnwye stori🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa na km hujawah pitia huwez kuelewa inauma sana tuHizi stories zinachekesha kama haupo kwnwye stori🤣🤣🤣🤣🤣
Lakini inawezekanaje penseli awajue watu wote na back ground zao had kina shunnie ilo haliwezekani nae kunakitu nyuma yake kilimpa story zote za watu yeye friji lake hajigandishi kayamwaga
😅😅😅😅🙌Kesho atakayeniuliza nimwambie aulize pombe sio me [emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaah aisee nimi naacha utani wangu rasmi heeeAshukuriwe Mungu sijui hawakuwepo hawa kipindi hicho[emoji23]
Zile msg tulikuwa tunaandikiana humu
Akiyanani nyie
Maneno yangekuwa mengi sana.
Kuna watu walinifata kuniuliza kama ni kweli
Nikawaambia mtu mwenyewe sijui hata anafananaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mara kipindi Fulani nikatuma tiketi ya ndege humu
Wakauliza kama nimekufuata Daslama [emoji23]
😂😂😂😂Na mimi ndio nilikuwa nautaka sasa🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisa na km hujawah pitia huwez kuelewa inauma sana tu
Ilo ndo la muhimu lakini Kwa kuwa yeye ndo kiini na ndoametaja watu wote hawez kuja hapaHii story ipo upande mmoja ndiomana inachanganya ilitakiwa huyu kipenseli kilichokosa ufutio kije kikamilishe chat zilizomiss na jina la mwenzie waliyekuwa wanachat wote!! Hapo tutampata mchawi vinginevyo ni vikundi vya watu vimeamua kuharibu kwa Penseli afu wamevutia kwao
Supastaa my Asssss 😂😂 🤠🤠🤠🤠🤠🤠😊😊😊!Superstar wa jf nzima😂
🤣🤣🤣 kungekua na option ya call kama insta nibgekupigia leo😂😂😂😂
Ukija TZ utembeze na kirungu ili tukufungulie na thread kabisa
Alafu unavyocheka napata wasiwasi usije kuwa una File lingine la Babu yako hapa.
EndeleaDaaaah aisee nimi naacha utani wangu rasmi heee
Tulia bas na wewe😂😂😂🤣🤣🤣 kungekua na option ya call kama insta nibgekupigia leo
Babu yenu tena nimefanya nini?Supastaa my Asssss 😂😂 🤠🤠🤠🤠🤠🤠😊😊😊!
Sasa mtu mambo ya miaka 47 huko bado naandamwa mpaka leo mimi mbona wenzangu hawaandamwi na walikua wanaweka mahusiano yao wazi pia who Am I????
Nina nini cha ziada ??? 😁😁🤠🤠🤠🤣🤣!!
Wanipumzishe kwakweli!
Hili tena la Grah mbona kuna jingine nilisikia kumuhusu Huyohuyo Grahams?
Na wengine kibao humu ??? humu kwanini wanitaje Mie tyuuuu????
Nyiee 🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺
Jf sihamiiiiii 🕺🕺🕺🕺!
Kusanyeni mafile yenu vizuri muwe na data kamilii na sio za kupika!!
Hivi Auntie na wewe umepitia?Kabisa na km hujawah pitia huwez kuelewa inauma sana tu
Nachojua mimi na dada tunadhani haujuiKwahiyo ulitaka kuamini kabisa kuwa hazitanifikia.? Zilifika zote.
Huyo mmoja aliyejisilibia ndio kiini chenyewe, maana alikuwa anamjaza dogo ili aendelee kutiririka[emoji1].
Mie nipo nasoma tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Supastaa my Asssss [emoji23][emoji23] [emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji4][emoji4][emoji4]!
Sasa mtu mambo ya miaka 47 huko bado naandamwa mpaka leo mimi mbona wenzangu hawaandamwi na walikua wanaweka mahusiano yao wazi pia who Am I????
Nina nini cha ziada ??? [emoji16][emoji16][emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1787][emoji1787]!!
Wanipumzishe kwakweli!
Hili tena la Grah mbona kuna jingine nilisikia kumuhusu Huyohuyo Grahams?
Na wengine kibao humu ??? humu kwanini wanitaje Mie tyuuuu????
Nyiee [emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739]
Jf sihamiiiiii [emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739]!
Kusanyeni mafile yenu vizuri muwe na data kamilii na sio za kupika!!