Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Eh anakiparaeti kipara we usinambie
Eh anakiparaeti kipara we usinambie
Cute mimi kama mimi ugomvi siuwez hasa mambo ya kusutana nime observe kuna watu hawapendi kuona watu wakicheka vzr kuhusu mm kugeuza maneno ya kumtambia country kuwa nimekutana na wewe ilo nililosolve na niliongea kama joking lakini baada nikafuta
Mm huwa naongea utani sana sana kama jana hapa nimesema mjep kaniazima 70k lakin mm nilionge for joking ndio maana walicheka tu yey na national
Hakuna kitu kinaumizaga moyo kama maneno so pleas naomba njoo pm tuyamalize




limekukuta jambo, acha upashkuna na ufukunyuku, ndo umetajwaa wee ndumila kuwilii.kuna mie au nani tenaa 😅😅😅.. nipo naasikiliza wimbo tu hapa.. huku namsubiri muongozo wa Unique Flower leo tunarukia wapi kumtoa mtu nyamaAfe Kwa lipi Sasa Jamani anatukosea sana 😂 kaleta mafile alafu anaogopa au ni Nini 😀
Hii nchi hii 😂😂😂Anaogopa kuyakabili haya lkn analea ujinga me nimemwambia nalewa yeye akazane kusali!!
Sasa kuna hili la watu kuliwa kwa laki mpk ushahidi upo yani. Huko grand villa game imepigwa sema muhusika wa hii issue simpendi MBAYA MBAYA MBAYA nitampa kiki tu
Hii Vita unayoiona kwani source Ni nini mkuu.Sasa humu tunawagombania wakinani kwani kuna akina nani??
Hahahahahaha,dahSasa wenzio wengine waliovamia ndo shida ikaanzia hapo.
Ila kijiwe toka kianzishwe na mshana 2019 kilikuwa poa Sana.
Nami nilipoteaga nikaibuka 2022. Nikawa mgeni Tena.
Ila all in all nilichokiona na watoto wa kiume wamechangia pakubwa Sana vuruga amani
Na Huyu smart na country na wao ndo wamechangia pakubwa sana. Maana ndio wanaogombaniwa kiasi kikubwa.
Tafuteni hela dada zangu! Acheni mabifu ya kugombania mabwana mnajichoresha.
Uduguuuu case inapindishwaaa, nilijua tyuuh wahusika lazima waepushweee, epuka kutapeliwa unapigwa changa LA macho.Kubabaake wallahi nyie humu ndani ni nouma dah!!
Jamani leo mniambie shuhuli tuanze saa ngapi? Hawa wafuatao mjiandae mzigo ushashushwa na National
Siamini mpk sisy Shunie naye yuko kwenye hiz drama duh!!!
Nimekazwa na countrywide nimeachwa, nimebebwa na Jack na nina bifu na Lenie mke mwenzangu?? Mengine nakuja kwanza ngoja niweke chaji ijae ili tuserebuke
Penseli wewe ni nyoka aiseee!! Kumbe una akili mbovu kiasi hiki??







Mchuchu mbona Kantri?? Me maokoto mbuzi ya kuniweka town ninayo!! Ya kulewa jmos had jmos zipoo nina kaduka kangu njaa leo nimetoka kufunga hesabuView attachment 2724456


fanya namna basi.Emu tuacheee bhanaaa wee.View attachment 2724059
Je una makasiriko?, Je unapanick utafikiri ndio mara yako ya kwanza kusambaziwa pumba? Je unakasirika utadhani snitches ni alien?
Tumia kahawa ina tuliza muhaho,
dozi kila baada ya masaa 2 au 3 , makasiriko yakizidi nenda gym
Mimi natumia kahawa wewe je?![]()





Hebuu nitag panaponihusuu nione shosss tags ni nyingi sana!!




panda juu shouzz ukajioneeee.Mchuchu mbona Kantri?? Me maokoto mbuzi ya kuniweka town ninayo!! Ya kulewa jmos had jmos zipoo nina kaduka kangu njaa leo nimetoka kufunga hesabuView attachment 2724456

hapa sasa talaka inatokaje? Acha masihara😂😂😂😂Et aduihuyo huyo adui namba moja wa mabinti humu
Hii Vita Ni kubwa Sana hahaha.Mchuchu mbona Kantri?? Me maokoto mbuzi ya kuniweka town ninayo!! Ya kulewa jmos had jmos zipoo nina kaduka kangu njaa leo nimetoka kufunga hesabuView attachment 2724456
Unajua wanaume wahumu shida yao ni moja hawajatulia na wanataka watu wapya kila siku na huku wao kama wao wameshaagiana na mwingine kuwa niyeye tu but sasa anakuwa hakidhi malengo yale aliyosema atafanya basi anaendelea kuwapanga na wanajuana galfa tu so lazima wazikunje na wate wameshatoa mzigo walahiHii Vita unayoiona kwani source Ni nini mkuu.
Wala mm sio source bro, ni mambo mengine. Issue ilikua ni umbea, wakawa wanatafutwa wambea, ndio umeona yamekuja yote hayoHii Vita Ni kubwa Sana hahaha.
No sijamtaja kwa ubaya ur country!
Nilikua naamaanisha Ni mmoja ya source pia mpaka mmefikia huku kwenye level za kuzalilishana.
Maokoto hakika yanavutia mchuchu keep it up.