Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Cute mimi kama mimi ugomvi siuwez hasa mambo ya kusutana nime observe kuna watu hawapendi kuona watu wakicheka vzr kuhusu mm kugeuza maneno ya kumtambia country kuwa nimekutana na wewe ilo nililosolve na niliongea kama joking lakini baada nikafuta

Mm huwa naongea utani sana sana kama jana hapa nimesema mjep kaniazima 70k lakin mm nilionge for joking ndio maana walicheka tu yey na national

Hakuna kitu kinaumizaga moyo kama maneno so pleas naomba njoo pm tuyamalize
limekukuta jambo, acha upashkuna na ufukunyuku, ndo umetajwaa wee ndumila kuwilii.
 
Anaogopa kuyakabili haya lkn analea ujinga me nimemwambia nalewa yeye akazane kusali!!

Sasa kuna hili la watu kuliwa kwa laki mpk ushahidi upo yani. Huko grand villa game imepigwa sema muhusika wa hii issue simpendi MBAYA MBAYA MBAYA nitampa kiki tu
Hii nchi hii 😂😂😂
 
Sasa wenzio wengine waliovamia ndo shida ikaanzia hapo.

Ila kijiwe toka kianzishwe na mshana 2019 kilikuwa poa Sana.

Nami nilipoteaga nikaibuka 2022. Nikawa mgeni Tena.

Ila all in all nilichokiona na watoto wa kiume wamechangia pakubwa Sana vuruga amani

Na Huyu smart na country na wao ndo wamechangia pakubwa sana. Maana ndio wanaogombaniwa kiasi kikubwa.

Tafuteni hela dada zangu! Acheni mabifu ya kugombania mabwana mnajichoresha.
Hahahahahaha,dah
 
Kubabaake wallahi nyie humu ndani ni nouma dah!!
Jamani leo mniambie shuhuli tuanze saa ngapi? Hawa wafuatao mjiandae mzigo ushashushwa na National

Siamini mpk sisy Shunie naye yuko kwenye hiz drama duh!!!
Nimekazwa na countrywide nimeachwa, nimebebwa na Jack na nina bifu na Lenie mke mwenzangu?? Mengine nakuja kwanza ngoja niweke chaji ijae ili tuserebuke
Penseli wewe ni nyoka aiseee!! Kumbe una akili mbovu kiasi hiki??
Uduguuuu case inapindishwaaa, nilijua tyuuh wahusika lazima waepushweee, epuka kutapeliwa unapigwa changa LA macho.

JF ni pori sio kichakaa tenaaa.
 
Screenshot_20230821-205940.png
 
Mchuchu mbona Kantri?? Me maokoto mbuzi ya kuniweka town ninayo!! Ya kulewa jmos had jmos zipoo nina kaduka kangu njaa leo nimetoka kufunga hesabu View attachment 2724456
Hii Vita Ni kubwa Sana hahaha.

No sijamtaja kwa ubaya ur country!
Nilikua naamaanisha Ni mmoja ya source pia mpaka mmefikia huku kwenye level za kuzalilishana.

Maokoto hakika yanavutia mchuchu keep it up.
 
Hii Vita unayoiona kwani source Ni nini mkuu.
Unajua wanaume wahumu shida yao ni moja hawajatulia na wanataka watu wapya kila siku na huku wao kama wao wameshaagiana na mwingine kuwa niyeye tu but sasa anakuwa hakidhi malengo yale aliyosema atafanya basi anaendelea kuwapanga na wanajuana galfa tu so lazima wazikunje na wate wameshatoa mzigo walahi
 
Hii Vita Ni kubwa Sana hahaha.

No sijamtaja kwa ubaya ur country!
Nilikua naamaanisha Ni mmoja ya source pia mpaka mmefikia huku kwenye level za kuzalilishana.

Maokoto hakika yanavutia mchuchu keep it up.
Wala mm sio source bro, ni mambo mengine. Issue ilikua ni umbea, wakawa wanatafutwa wambea, ndio umeona yamekuja yote hayo
 
Back
Top Bottom