Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Nilishapokea nikasaini nikashushia peps baridiNasubiria file lakooo madamm 😁😁😁😁🤠🤠🤠😂!!
Nimekaaa palee 👉👉👉🤠🤠🤠
😀😀😀
Nilishapokea nikasaini nikashushia peps baridiNasubiria file lakooo madamm 😁😁😁😁🤠🤠🤠😂!!
Nimekaaa palee 👉👉👉🤠🤠🤠
Njoo PM banaKwan nani ana faili la mwenzie😂😂😂
We leta langu kama unalo
Ndio nimeshtuka hapa😂😂😂😂Hapa hapaaa
Manataka kwenda wapi sasa🤣🤣🤣
Au tukuongeze kweli list? 🏃🏃🏃
Jack ni mbayaaa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣😂😂!!Babu yenu tena nimefanya nini?
Kuweni na huruma na Wazee jamani 🙌
We unatafuta umaarufu wew sio bure😂😂sijiiiNjoo PM bana
Liseme kwa kifupi AuntieMazito my wangu 😀😀Nilikufa nalo kiume maana ningekuja kulisema ingekuwa Kash Kash hapa kwenye Uzi alafu ingekuwa taharuki nilishasamehe kitambo
Hapana bro, you know I appreciate and respect you.Mkuu, naona unani circle na redmark😃.
Nilishapokea nikasaini nikashushia peps baridi
😀😀😀
😂😂😂🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤠!!Nilishapokea nikasaini nikashushia peps baridi
😀😀😀
Najitolea kuwapa mafunzo bure hao Vijana juu ya namna ya kutunza Siri za ndani.Hata mie Nina files kibao humu tena za muda mrefu sana na za watu kibao!! Nashukuru Mungu sinaga huo muda ndiokwanza nacheka hadi na hapohapo watu ambao unakuta anaenda kunipondea kujungua na kwa majina kabisa sinaga mudaaaaa!! Hao vijanaaaaa wenu babu 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮!!
Na ungekuwa na ka Moyo kepesi😁😁Sana tu sikulala aunt ila nikagundua ni ushamba tu wa watu wa hapa sijui yaliishaje naona tu napumua kama kawa 😀😀😀
Mimi naangalia maslahi yangu sio porojo za mtu na nikiamua langu hakuna wa kunizuia hata waje nq mafile buku ten kutoka India na American nilisemwa tangu sijazaliwa jipya Nini hapa na pua zao kama misumari😂😂😂🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤠!!
Madam santo Domingo 😁🤐Nasubiria file lakooo madamm 😁😁😁😁🤠🤠🤠😂!!
Nimekaaa palee 👉👉👉🤠🤠🤠
Koh koh koh............Kiko ya leo nayovuta imekuwa kali sana Mjukuu.Ma file yako ninayo mengi sema unataka lipi kati ya haya manne😜😅😅
I appreciate bro, ila utasababisha haka ka ID watu waanze kukanyanyapaa na kukaacha kapweke, wakati ka ID kenyewe nako kanawindwa kawekwe nguvuni😃
Kuweni na Huruma na Wazee Mjukuu🤣🤣🤣🤣😂😂!!
Leo ndio leo babuuuuu unaonekana una mabalaa humuuuu🤣🤣🤣🤣😂!!
Nimekaa paleeee 👉👉🙇🙇🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤠🤠🤠🤠🤠🤠!!Najitolea kuwapa mafunzo bure hao Vijana juu ya namna ya kutunza Siri za ndani.
Hili tatizo limekuwa kubwa sana miaka yenu Mjukuu.
Sisi miaka ile mnaweza kulala Njaa na Familia lakini Majirani wasijue.
Miaka yenu hii Mwanamke akikosa tu hela ya Saluni kwa mumewe, basi ataanza kumchamba Huyo Mumewe Mitandaoni hadi watu walioko Marekani wajue.
Nyie lazima tuwarudishe Unyagoni na Jandano kwa watoto wa kiume.
Vinginevyo mtaisha
Haiwezekani Umeachana juzi na mpenzi wako alafu yeye kila saa anaposti status habari za Bamia
Hivi kama hauna moyo Mgumu si utajikuta umeanguka kwa Presha 🙌
Sema tuko tz, ila kwa Akili zetu ili paswa tuwe na ka private investigation company 😁.I appreciate bro, ila utasababisha haka ka ID watu waanze kukanyanyapaa na kukaacha kapweke, wakati ka ID kenyewe nako kanawindwa kawekwe nguvuni😃
Zilifika mapema sana.Nachojua mimi na dada tunadhani haujui
Sasa kama vitu vilifika, lazima tushangae![]()
Nilikosa usingiz nilikuwa nawaza sijawahi mkwaza nimegundua Kuna nilichomzidi ananionea wivu 😀 kama sijamzidi aje pm aniambie amenizidi nn 😂😂😂😂 tatizo nyotraaaLiseme kwa kifupi Auntie
Bila kutaja mtu
Ukakosa usingizi?
Aiseee
Watu mna mioyo miepesi🤣