Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee mgenii na selfika huijuii, tuulize wakongwee tukupe in4,

Manjegeka ya upande m1 ambao walishapanga nini kiletwee humu, hata sina mshipaa nao.

Selfika woyeeeeeee

Me nilitaka pande zote waletwe hii ya mwingine kajificha sijaielewa ila najua rafikiake Penseli mshamba
 
Mwanamke unakuwaje na sugu kwenye magoti waambie waje niwape wix hiyo unakuwa na rangi moja unayotaka 😬
😅😅😅😅.. haka je 🤪🤪🤪 nako kanataka wix au
Screenshot_20230821-214326.png
 
Kwanza hata si wa kwangu kuna mtu namuazima wake

Nilichokiona humu wengi tumeathirika na kupenda chini na upande wa privacy zero
Na humu mwanaume ukimkataa anakuundia tume na chuki juu, kuna watu hawajui kukataliwa!!! Jamani haya mambo yanaenda na kufanana tabia

Me mcharuko siwezi kupata mtu aliyepoa lazima nimpate mtu km Mpwayungu ndio tunaenda sawa, wote tumevurugwa yani
Serious jf inataka kufanywa kua Kama Badoo. Ukiona I'd yakike akili inaruka na kuwaza mtongozo.

Na wakike akiona I'd ya kiume akili inaruka inahamia kwenye udangaji.

Full kuwindana
 
Napenda kuwapa Usia.
Acheni UNAFIKIIIIII

siku mkiacha UNAFIKI, amani ita tamalaki humu ndanii.

Yangu ni hayo tyuuh.

Na vikundi vivunjwe, wajiunge vyenye faida km kausha damu, chupi mkononi ili tuwaze marejesho

Na wanaume waache kuwa nyuma ya wanawake hawa ndio tatizo kubwa humu nimeliona!! Yani mtoto wa kiume anashinda muda wote piem za dada zake kugombanisha

Na watu wazima hovyo mjifunze kukataliwa, wengine wanatishaaa jamaani khaaaaaa!!! Mungu anisamehe ila hapana ukweli tuseme mtu yupo toka enzi za TANU lkn naye hataki anajifanya rika la kina mshamba khaaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom