Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Utanipa ujumbe best ila nafikiri sio jipya ๐๐๐ ๐๐ ukiona sio usililete sitakag marudio ๐๐Unalalaje file lako likishushwa nikuwakilishe
Utanipa ujumbe best ila nafikiri sio jipya ๐๐๐ ๐๐ ukiona sio usililete sitakag marudio ๐๐Unalalaje file lako likishushwa nikuwakilishe
Jf nzito aiseeee!! Haswaaa upande wa selfika![]()
Kuna mtu kumbe aliahidiwa kupewa mil 3 afu kaambulia laki nakojoooooooooaa
Ila wazee wa humu Mungu anawaona khaaaaa!!!
Yaani huu mpdf umenizidi kimo aiseeee!!





hujaijuaa badoo, utaijuaa tyuuh.Mbna nikiingia humu mnakua na woga??Kamefika
Kamefika!!
Kumekucha![]()




Oyaaa relax mkuuHuo ni uongo bro, watongozaji wengi huishia kuniponda huko walivyo wajinga.
๐๐๐Oyaaa relax mkuu
Kwanza Mimi mademu wote wa jf nawaona manjemba tu.
Kuwa na amani
Hamlali ๐๐Sio hazigandishi tu ni waongo wachonganishi wanaume kama waanwake na wanawake wamechoka hawana kazi wamebaki kuwapigia wenzao majungu Tu
Hawajielewi๐๐๐
Ngoja nilale jana nilikesha
Ndo nani huyo Coca?
Akiyanani nimezeeka![]()




naona ulikua buzzy kusoma PDFs.Nalala dear ๐๐Hamlali ๐๐
Poa nimekusomaOyaaa relax mkuu
Kwanza Mimi mademu wote wa jf nawaona manjemba tu.
Kuwa na amani
Hata Kama mnakulana kiukweli Mimi sioni shida pia.
Unajua unapomfata mtu! Kwa mfano Mimi nikikufuata wewe pm Ni ta deal na yangu tu Huyo cantry hutamskia kwenye mdomo wangu Wala maandishi yangu.
Sasa nahisi shida zinaanzia Mimi na kutaka wewe then namkandia jamaa na sijui level ya undungu na mahusiono yenu.
Na kikubwa kabisa friji za wana jf hazigandishi hili ndilo nililoliona pakubwa










Mbona wabovu wote๐๐๐คฃ, hamna Cha maana hapo๐ค
Unapigwa changa la machooo,Nimeishtukia hii case kuna vitu vilimiss vya huyo aliyevujisha chat






Embu lala.๐๐๐
Leo shem alichachuka balaa![]()




nimechekaaa sanaaa, leo alikula nn sijuii, woiiiiiiihMaelezo nimeyatoa sana, unajua sijui nisemaje labda wao kina depal na darlin waseme kama tunajuana.
Ni huyu dogo ndio naamini alikua akikuambia huu ujinga na uongo toka zamani kwa fake id
Sijui alifikiria nn.




Mwanamke unakuwaje na sugu kwenye magoti waambie waje niwape wix hiyo unakuwa na rangi moja unayotaka ๐ฌ
Kwanza hata si wa kwangu kuna mtu namuazima wake
Nilichokiona humu wengi tumeathirika na kupenda chini na upande wa privacy zero
Na humu mwanaume ukimkataa anakuundia tume na chuki juu, kuna watu hawajui kukataliwa!!! Jamani haya mambo yanaenda na kufanana tabia
Me mcharuko siwezi kupata mtu aliyepoa lazima nimpate mtu km Mpwayungu ndio tunaenda sawa, wote tumevurugwa yani![]()






