Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Waarabu wakija wawachukue na hawa wakawe watumwa Mxxiewwww!! Yaani mtu anaacha kuwaza kutafuta chakula cha familia yake, katulia anapanga list za kingese kuzushia watu!!
Afu ni midume yenye midevu na mijike ilioingia hedhi inakaribia kukoma inatulia inatunga story kwa chit chat za selfika!!!!

Serikali waongeze tozo bundle zipande au warudishe kodi ya kila kichwa watu wawe serious na maisha humu
Kuna watu wapo serious sana kufatilia watu humu😅
 
Kwakweli hali ni mbaya muhimu tuache kunafkiana humu Yani tunadhalilishana sijui Figo hivo vitu vya kumsimanga binadamu mwenzio kweli Tena ni vya uongo
Ni mambo ya hovyo sana

Inaonekana watu wamekosa vya kufanya ndiyo maana wamekuja na huu uzushi, hivyo najitolea kuwapa Mashamba Ekari 5 waje tulime huku Kijijini
 
Hapa jf nipo kurelax na ndio lengo langu kama upo makini huwezi kunikuta kwenye mada serious. Hata hii watu kunifikiria tofauti ni furaha kwangu😅
😂😂😂😂
Khaaaa, we hawajakupa magonjwa makubwa makubwa ndio maana una furaha hivo
Na huwezi jiskia vbaya maana uko unagonga zako tuvitu tukali tukali
 
Mjomba weka wasengenyaji walishasema hawaioni ufalme wa Mungu hata huu wa selfika hauwahusu hata km mm nilikusema Mjomba weka tu yaishe kwakweli kupakaziwa kunauma wanaumia na wao
Mie nashangaaa.. wenzao wanapo haribiwa wanajisikiaje.. umeona kama huyo binti sijui Carleen walicho mzushia ? Mie humu nimeshushiwa nimelala na Mama mchungajj na saint anne na wengine wengi hapa pamekuwa pa mipasho daily ili kuondoa hiyo tusake mwizi.. nashusha mikeka mchawi mmoja mwehu anakujoa speed kunitisha 😅😅😅😅.. au basi niache nilale zangu
 
Mie nashangaaa.. wenzao wanapo haribiwa wanajisikiaje.. umeona kama huyo binti sijui Carleen walicho mzushia ? Mie humu nimeshushiwa nimelala na Mama mchungajj na saint anne na wengine wengi hapa pamekuwa pa mipasho daily ili kuondoa hiyo tusake mwizi.. nashusha mikeka mchawi mmoja mwehu anakujoa speed kunitisha 😅😅😅😅.. au basi niache nilale zangu
Malizia kaka
Nyeshea mvua tuone panapovuja tafadhali
 
babu kwako nimeshangaa kumbe humu hawaangalii km mzee au kijana wote tunaonekana wa hovyo tu
Yanii humuuu kuna matatizo makubwa sana!!
Mfano yale mambo ya penseli eti mie ndio namtuma awanange kuhusu jamaaa mtu tulishaachana miaka nenda rudi akawa na list ya wanawake kibaoo humu hata jf seva shahidi Mtu nishamove on na maisha Yangu nae anaendelea zangu kuselfika zanguu kwaraha zangu mieee 🤠🤠😂😂 na life lake huko Kwamba hadi leo namtuma Penseli kwao what for???????? Namuogopa nani labda???? Namuogopa nani labda???
Ili nipate nini yani??? Mbona habari wanazijua Wengi humu na hakuna asiejua Kwanini nimtume Penseli????
Nazile dislikes jf nzima nilikua namtuma??? Mbona watu kibaoo humu wanaropoka ropoka tu kama vichaa na kuvamia na hamsemi wanatumwa nanani nyieee msiniletee bange zenuu tasavaliii!!!
Kwahio Na hao ambao hadi wananitag nao wanetumwa nahao???
 
Mie nashangaaa.. wenzao wanapo haribiwa wanajisikiaje.. umeona kama huyo binti sijui Carleen walicho mzushia ? Mie humu nimeshushiwa nimelala na Mama mchungajj na saint anne na wengine wengi hapa pamekuwa pa mipasho daily ili kuondoa hiyo tusake mwizi.. nashusha mikeka mchawi mmoja mwehu anakujoa speed kunitisha 😅😅😅😅.. au basi niache nilale zangu
Ukikaa kimya halitaisha Bora mchaw aletwe live yataisha had kufikia saambili kikao kitakuwa kineisha bila hivo haya maigizo hayaishi karibia wiki mada ni hizi uzuri wahusika tupo hapahapa
 
Back
Top Bottom