Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,191
- 96,024
Haukutaka kuli puka kwa hasiraa kweli🤣😂😁Dadekii halafu akamalizia nilienda pm kwake kumuomba anisaidie matumizi ya mtoto😁😁😁
Haukutaka kuli puka kwa hasiraa kweli🤣😂😁Dadekii halafu akamalizia nilienda pm kwake kumuomba anisaidie matumizi ya mtoto😁😁😁
Kuna watu wapo serious sana kufatilia watu humu😅Waarabu wakija wawachukue na hawa wakawe watumwa Mxxiewwww!! Yaani mtu anaacha kuwaza kutafuta chakula cha familia yake, katulia anapanga list za kingese kuzushia watu!!
Afu ni midume yenye midevu na mijike ilioingia hedhi inakaribia kukoma inatulia inatunga story kwa chit chat za selfika!!!!
Serikali waongeze tozo bundle zipande au warudishe kodi ya kila kichwa watu wawe serious na maisha humu![]()
Ni mambo ya hovyo sanaKwakweli hali ni mbaya muhimu tuache kunafkiana humu Yani tunadhalilishana sijui Figo hivo vitu vya kumsimanga binadamu mwenzio kweli Tena ni vya uongo
Winja winja kiba shwaaa hadharani 😀😀😀babu utaletwa na kiba chako wajukuu mafriji hayagandishi
Wanataka tuachike hawaRoho mbaya kabisa ile, dada watu hana hili wala lile unamuundja story.. Watu hawajui athari za utungaji story wao mnaweza vunja mahusiano hivi hiv




😂😂😂😂Hapa jf nipo kurelax na ndio lengo langu kama upo makini huwezi kunikuta kwenye mada serious. Hata hii watu kunifikiria tofauti ni furaha kwangu😅
Mie nashangaaa.. wenzao wanapo haribiwa wanajisikiaje.. umeona kama huyo binti sijui Carleen walicho mzushia ? Mie humu nimeshushiwa nimelala na Mama mchungajj na saint anne na wengine wengi hapa pamekuwa pa mipasho daily ili kuondoa hiyo tusake mwizi.. nashusha mikeka mchawi mmoja mwehu anakujoa speed kunitisha 😅😅😅😅.. au basi niache nilale zanguMjomba weka wasengenyaji walishasema hawaioni ufalme wa Mungu hata huu wa selfika hauwahusu hata km mm nilikusema Mjomba weka tu yaishe kwakweli kupakaziwa kunauma wanaumia na wao
Kulima hawawez Hawa ndio kaziyao alafu wanajifanya hawana bando leoNi mambo ya hovyo sana
Inaonekana watu wamekosa vya kufanya ndiyo maana wamekuja na huu uzushi, hivyo najitolea kuwapa Mashamba Ekari 5 waje tulime huku Kijijini
Mkuu center ya mbanga😂😁, ambazo zote ni njemba🤔😁.Ujajua haileti maana kabisa kuwa center ya hizo mbanga zote ni mwanaume.
![]()
Ooh.........hadi yale tena, Sijapenda kwa kwelibabu utaletwa na kiba chako wajukuu mafriji hayagandishi
Magonjwa nayapata kwa bluetooth?😅😂😂😂😂
Khaaaa, we hawajakupa magonjwa makubwa makubwa ndio maana una furaha hivo
Na huwezi jiskia vbaya maana uko unagonga zako tuvitu tukali tukali
Malizia kakaMie nashangaaa.. wenzao wanapo haribiwa wanajisikiaje.. umeona kama huyo binti sijui Carleen walicho mzushia ? Mie humu nimeshushiwa nimelala na Mama mchungajj na saint anne na wengine wengi hapa pamekuwa pa mipasho daily ili kuondoa hiyo tusake mwizi.. nashusha mikeka mchawi mmoja mwehu anakujoa speed kunitisha 😅😅😅😅.. au basi niache nilale zangu
Yanii humuuu kuna matatizo makubwa sana!!babu kwako nimeshangaa kumbe humu hawaangalii km mzee au kijana wote tunaonekana wa hovyo tu
Huyo dada naonaga hana akili .. kapanic 😅😅😅.. sie tuna msaka anaechafua watu tuna mpata unakuja anzishia tifu tifu wengine.. msaidie huyo mwanamke mwenzenuNakazia
Si uko connected successfully lakini😂😂Magonjwa nayapata kwa bluetooth?😅
Wew sijaona lako hebu niletee hapa
hawa


Wangekuwa busy na shughuli za shamba kama Babu yao hapa wasingekuwa na muda wa kuzushia watu mambo mazito hivyo.Kulima hawawez Hawa ndio kaziyao alafu wanajifanya hawana bando leo
😬😬😬Kwa kweli nimeumia sana, yaani miaka yote hii 78 bado watu wanataka kunichafua.
Kama mambo ni hivi tutahamia zetu Jukwaa la Siasa tu
Ukikaa kimya halitaisha Bora mchaw aletwe live yataisha had kufikia saambili kikao kitakuwa kineisha bila hivo haya maigizo hayaishi karibia wiki mada ni hizi uzuri wahusika tupo hapahapaMie nashangaaa.. wenzao wanapo haribiwa wanajisikiaje.. umeona kama huyo binti sijui Carleen walicho mzushia ? Mie humu nimeshushiwa nimelala na Mama mchungajj na saint anne na wengine wengi hapa pamekuwa pa mipasho daily ili kuondoa hiyo tusake mwizi.. nashusha mikeka mchawi mmoja mwehu anakujoa speed kunitisha 😅😅😅😅.. au basi niache nilale zangu