Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Afu kuhusu Grahams mbona mi nilishausoma mchezo muda sana ningekua ninaejalii ningeshauliza humu muda mrefu nashukuru hata sijalii as Long as kitu hakinihusu walaaaaa!! Nilishalisikia hilo muda mrefu sana mwenzenyuuuu!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii
Mbna habariii sinaaa? Mnakuwa na wachumba humu mie sijuiii?? Sijapentaaaaaaaa
 
Hii Vita Ni kubwa Sana hahaha.

No sijamtaja kwa ubaya ur country!
Nilikua naamaanisha Ni mmoja ya source pia mpaka mmefikia huku kwenye level za kuzalilishana.

Maokoto hakika yanavutia mchuchu keep it up.

Afu mwamba kwenye chati kamtaja countrywide km ninavyomtaja mwenyewe kwa pozi “Kantri” nyie mambo haya

Kantri me sio mtu wangu wala nini ni chit chat tyuu hizi tunasogeza masaa yaende, wanaotaka kuruka naye wao wawe huru na kishmundu zote nimewapaaaa!!!
 
Afu mwamba kwenye chati kamtaja countrywide km ninavyomtaja mwenyewe kwa pozi “Kantri” nyie mambo haya

Kantri me sio mtu wangu wala nini ni chit chat tyuu hizi tunasogeza masaa yaende, wanaotaka kuruka naye wao wawe huru na kishmundu zote nimewapaaaa!!!
Sasa shoga achag kunikimbia hujamaliza
 
Afu mwamba kwenye chati kamtaja countrywide km ninavyomtaja mwenyewe kwa pozi “Kantri” nyie mambo haya

Kantri me sio mtu wangu wala nini ni chit chat tyuu hizi tunasogeza masaa yaende, wanaotaka kuruka naye wao wawe huru na kishmundu zote nimewapaaaa!!!
Huyo dogo kaharibu kila kitu ile kuachana imekaa kikuda sana
 
Naomba usinihusishe na upuuzi wenu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Tangu fyokofyoko zianze Humu umeona nimekutag sehemu???? Au hata kukuquote tu???? Acha quote hata like tu umeona hata kimojawapo toka Kwangu???? Hio amani utadhani itarudi kwahuu unafiki unaoufanya hapa???

Pulllllllliiiiiiiiizzzzz leave me alone sitaki ugomvi nawewe sikutag wala sikuquote popote so kufa kwa amani tasavaliii !
!
Niitieee Bantu Lady tafadhariiiiii, naombaaa na yeye aje hapaaaa achangieee nenooo.

Sasa ndo kumekuchaaaa rasmiiiii, woyoooooooo
Kataaaaaa UNAFIKIIIIIIII.
 
Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???

Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!!!
 
Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????!
Huo moyoo sinaga kiukweli!!
! wee babu Sitrakii kabisa hio tabia ya kuwasambazia huu uongo!

Nipo napambana nahare yanguuu hukuuu nishakomaga muda sana!!
Afu Hizi habari nilishaambiwaga nikamuuliza mtu fulani Hum!!
hatariiiii tupuuuu.
 
Back
Top Bottom