Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,351
Niambie nani kwa kuanzisha herufi zake za mwanzohuyo huyo adui namba moja wa mabinti humu
Niambie nani kwa kuanzisha herufi zake za mwanzohuyo huyo adui namba moja wa mabinti humu
Uduguuuu case inapindishwaaa, nilijua tyuuh wahusika lazima waepushweee, epuka kutapeliwa unapigwa changa LA macho.
JF ni pori sio kichakaa tenaaa.![]()
Mbna habariii sinaaa? Mnakuwa na wachumba humu mie sijuiii?? SijapentaaaaaaaaAfu kuhusu Grahams mbona mi nilishausoma mchezo muda sana ningekua ninaejalii ningeshauliza humu muda mrefu nashukuru hata sijalii as Long as kitu hakinihusu walaaaaa!! Nilishalisikia hilo muda mrefu sana mwenzenyuuuu!
Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii![]()





fanya namna basi.



Kaswende na pangusa hazipooo?Kwani wewe hujapata list ya watu tunaotoka nao?? Baba umeupiga mwingi humo yani ni umetubadilisha hadi sio poa
Afu hadi HIV zimo na Gono





Aisee hiyo fanya iwe faster, hapa hadi mwili umesisimkaMangi unavyopenda pesa
Kwa hasira nakununulia iPhone 14 mme wangu wake wenza nao waige wakununulie ist



Shem leo account yako umempa coca
Huu muandiko wa coca





uduguuuu hatujafikia hatua ya kupeana account, ni yeye huyo kachachukaaa.Shushaaa tulioneee hapaa,Chief lala ukiamka mida ya wanga tunachafua hali ya hewa tena
Ila mimi nashusha PDF namba 3 nikipewa ulinzi sasa hivi






Hii Vita Ni kubwa Sana hahaha.
No sijamtaja kwa ubaya ur country!
Nilikua naamaanisha Ni mmoja ya source pia mpaka mmefikia huku kwenye level za kuzalilishana.
Maokoto hakika yanavutia mchuchu keep it up.



Sasa shoga achag kunikimbia hujamalizaAfu mwamba kwenye chati kamtaja countrywide km ninavyomtaja mwenyewe kwa pozi “Kantri” nyie mambo haya
Kantri me sio mtu wangu wala nini ni chit chat tyuu hizi tunasogeza masaa yaende, wanaotaka kuruka naye wao wawe huru na kishmundu zote nimewapaaaa!!!
Huyo dogo kaharibu kila kitu ile kuachana imekaa kikuda sanaAfu mwamba kwenye chati kamtaja countrywide km ninavyomtaja mwenyewe kwa pozi “Kantri” nyie mambo haya
Kantri me sio mtu wangu wala nini ni chit chat tyuu hizi tunasogeza masaa yaende, wanaotaka kuruka naye wao wawe huru na kishmundu zote nimewapaaaa!!!
Niitieee Bantu Lady tafadhariiiiii, naombaaa na yeye aje hapaaaa achangieee nenooo.Naomba usinihusishe na upuuzi wenu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Tangu fyokofyoko zianze Humu umeona nimekutag sehemu???? Au hata kukuquote tu???? Acha quote hata like tu umeona hata kimojawapo toka Kwangu???? Hio amani utadhani itarudi kwahuu unafiki unaoufanya hapa???
Pulllllllliiiiiiiiizzzzz leave me alone sitaki ugomvi nawewe sikutag wala sikuquote popote so kufa kwa amani tasavaliii!
!






Niambie nani kwa kuanzisha herufi zake za mwanzo
Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???
Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!!!







uduguuuu hatujafikia hatua ya kupeana account, ni yeye huyo kachachukaaa.
Hujamjua? Ana njegekaa lake pambee. Mbna utasandaaa.




Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????!
Huo moyoo sinaga kiukweli!!
! wee babu Sitrakii kabisa hio tabia ya kuwasambazia huu uongo!
Nipo napambana nahare yanguuu hukuuu nishakomaga muda sana!!
Afu Hizi habari nilishaambiwaga nikamuuliza mtu fulani Hum!!







hatariiiii tupuuuu.