Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aliumba ardhi akaumba mbingu
Akaumba mbaramwezi kaumba nafsi, Kaumba wivu
Akayaumba na mapenzi na kukuacha sidhan
Siwezi jaribu maana penzi kwa mzani
Umenizidi mahabibu shika vyema usukani
Twende taratibu
Baada Ya tuta baby Koleza gia

Yani tam tam kama pipi nakuita sweet
Ah lote lote fundi kwenye kwichikwichi
Shape vipi kama lote
Vicheche nisha delete sitaki cheat
Wa toke toke kwenye moyo nimekupa seat
We ndo dereva, sio wa kukuacha oh
Kumekuchaaaa sasa,
 
Niandikie hata pm please
Hapa yaweza leta maneno

Nizamie PM iko wazi

Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimeua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu
Hayaa nawee nipee huo ubuyuu wakoo, mie ndo final destination za udaku na ubuyuu
 
Nikajikuta nina uadui na mtu bila mimi mwenyewe kujua
Jf noma sana

Aliyenigombanisha na mtu aisee alaaniwe.
Sema naye aliyeconclude kunihukumu ni kiazi sana..huwezi mkasirikia mtu pasi hata na kumuuliza mhusika.

Unakuja kugundua ukweli ni too late na tayari mtu ashakutoa kwenye undugu.
Nipee ubuyu huo nimumunyeee
Navopendaa sasa
 
Back
Top Bottom