mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,301
- 72,040
arusha imeshakukaa soon utaanza kula bange😂Ntamzimisha
😀😀
Mwishowe niamkie Kisongo
arusha imeshakukaa soon utaanza kula bange😂Ntamzimisha
😀😀
Mwishowe niamkie Kisongo
Mm mwenyew napenda chai na Wala sinannyumba Wala kiwanja 😀😀Wew umejenga nyumba ngap
😂😂 kaka angu ni TPDF memberarusha imeshakukaa soon utaanza kula bange😂
Sema kweli😂😂 kaka angu ni TPDF member
Nilianza kuijua hiyo bange kwake kabla hata siijui Arusha.
Situmii weed.
Ohhhhh!!😟🥺8th July, I'll never forget this date. I just lost my mom today, may she rest in eternal peace![]()
Boss ulikuwa unatumia samsung ganiSamsung picha ziro nimeamua niwe na.simu mbili ya picha na.ya maongezi mshamba_hachekwi nikuazime moja?
Dada sorry, kesho ratiba imeingliana, tufanye next SundayOle wako unikimbie![]()
Mbna nipoo jomonee,Ulifichwa wapi nimepita hapa naked kabisaa
Wee dear nae hebu tuhadithie huo ubuyuuu, khaaahKama wanamind vitu vidogo , hivyo vya picha si ndo kabisa .
Can't write it here na sipendi maneno since inanihusu sana .
Kumekuchaaaa sasa,Aliumba ardhi akaumba mbingu
Akaumba mbaramwezi kaumba nafsi, Kaumba wivu
Akayaumba na mapenzi na kukuacha sidhan
Siwezi jaribu maana penzi kwa mzani
Umenizidi mahabibu shika vyema usukani
Twende taratibu
Baada Ya tuta baby Koleza gia
Yani tam tam kama pipi nakuita sweet
Ah lote lote fundi kwenye kwichikwichi
Shape vipi kama lote
Vicheche nisha delete sitaki cheat
Wa toke toke kwenye moyo nimekupa seat
We ndo dereva, sio wa kukuacha oh![]()





Hayaa nawee nipee huo ubuyuu wakoo, mie ndo final destination za udaku na ubuyuuNiandikie hata pm please
Hapa yaweza leta maneno
Nizamie PM iko wazi
Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimeua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu![]()






Nipee ubuyu huo nimumunyeeeNikajikuta nina uadui na mtu bila mimi mwenyewe kujua
Jf noma sana
Aliyenigombanisha na mtu aisee alaaniwe.
Sema naye aliyeconclude kunihukumu ni kiazi sana..huwezi mkasirikia mtu pasi hata na kumuuliza mhusika.
Unakuja kugundua ukweli ni too late na tayari mtu ashakutoa kwenye undugu.






Wee dear nae hebu tuhadithie huo ubuyuuu, khaaah
Ah hapo ndo safari ya Dom mwezi inakujaYes,zishafika mpendwa wangu!
Namshukuru Mungu Niko mzima
Hebu tuambie nawee, unaogopaa nn sasa? Au kweliShoga tukimeet siku face to face![]()







kwan kablaa ya yotee, muambie hiyo pensi aniachiee, Unaenda zako mahengee, nimekumbuka mlima ndororo,View attachment 2681034
View attachment 2681035
View attachment 2681036
Mtembea bure si sawa na mkaa bure .....
Hello Friday![]()