cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Poleee sanaa Mr.8th July, I'll never forget this date. I just lost my mom today, may she rest in eternal peace![]()
Poleee sanaa Mr.8th July, I'll never forget this date. I just lost my mom today, may she rest in eternal peace![]()
Asante!!☺️☺️
A20Boss ulikuwa unatumia samsung gani
Qhahqhq kumbe hakuna wakumcheka mwezieMm mwenyew napenda chai na Wala sinannyumba Wala kiwanja 😀😀
Qhahahaqh mbona unanisema kwa mafumbMimi sijajenga na Wala sijawahi msema mtu na starehe Nina ndugu wanakunywa nikipenda nawasindikiza kabisa ila sioni km huo msemo unachukiza😂😂akiambiwa mtu aliyejenga
Tuko vyediii, vipii wee.Mambo sweetie
Hamjambo na G ?
mbona idogo, au bajeti
Usiku sili sans ata ivyo nimekula tu basmbona idogo, au bajeti
Msosi bila nyama wafaa nini
Ahaah ni samaki bhnaMsosi bila nyama wafaa nini
Ahahah samii uku dar tunakata vidogo vidogo ili visukume sikumbona mdogo hivyo😂
au ni dagaa pori
basi kumbe ni ishu ya bajeti😂Ahahah samii uku dar tunakata vidogo vidogo ili visukume siku
Ahahahahh jaman mbona mnaninanga ivyo sasa samaki kala pakaMe naona mchicha na bamia tu
mshamba_hachekwi eti umeona samaki hapo?
dagaa pori😂Me naona mchicha na bamia tu
mshamba_hachekwi eti umeona samaki hapo?
Au samaki ndio imepiga picha🤣Ahahahahh jaman mbona mnaninanga ivyo sasa samaki kala paka
Nakula kwa picha ya samakAu samaki ndio imepiga picha🤣
Hahaa hapo sawaNakula kwa picha ya samak