Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,999
- 8,353
Ungekuwa jirani ningekulamba
Wew umejenga nyumba ngapTatizo la watanzania hampendi kuambiwa ukweli
chamsingi miguu ilegee sio😂Leave the sweet beer alone.
Napenda ungekuwa karibu ningekulamba vidole mpka nisinzie 🥰🥰🥰🥰 una vidole.vizur ongeza na kucha
Kabisa tunajengs uku tunamwaga moyoIla muhimu kuwa na mjengo mjini mtaalamu ili wakose cha kuzungumza![]()
ukienda arusha mtafute depal akuvutishe kidogoNielimishe sasa
Mkuu unakula.kucha?Nimekulipa..
View attachment 2682339
Sawa mkuuukienda arusha mtafute depal akuvutishe kidogo
Kabisa tunajengs uku tunamwaga moyo
Mkuu unakula.kucha?
Yes,zishafika mpendwa wangu!Yes sweetie huwa namfuatilia
Siku zinakimbia duh
Siku tano zishafika .
Vipi mzima ??
cha muhimu kuyumba 🤣🤣chamsingi miguu ilegee sio😂
Ahhh kumb poaHapana nakata na nail cutter..
Amenituma nimpokeleeDepal njoo uchukue zawadi kutoka Kaskazini, Magharibi, Mashariki na Unguja!View attachment 2682164
Hivi mkikatia kucha huko chini kabisa hamuumii?Nimekulipa..
View attachment 2682339
HaahaaUngekuwa jirani ningekulamba
Hivi mkikatia kucha huko chini kabisa hamuumii?
Ntamzimishaukienda arusha mtafute depal akuvutishe kidogo
Mimi sijajenga na Wala sijawahi msema mtu na starehe Nina ndugu wanakunywa nikipenda nawasindikiza kabisa ila sioni km huo msemo unachukiza😂😂akiambiwa mtu aliyejengaWew umejenga nyumba ngap