CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,065
- 7,651
Jirani unawaogopa[emoji16]Kama wanamind vitu vidogo , hivyo vya picha si ndo kabisa .
Can't write it here na sipendi maneno since inanihusu sana .
Jirani unawaogopa[emoji16]Kama wanamind vitu vidogo , hivyo vya picha si ndo kabisa .
Can't write it here na sipendi maneno since inanihusu sana .
Siwezi kujianika 😂😂Weee usiniambie hebu fanya kutupa ubuyu 😀
Hee
Kuna nini?
Isije kuwa picha zetu zinanangwa
Ama ni kuhusu Nini?
Nihadithie 🤣
Mdogo wangu wamekufanyaje tena?Kama wanamind vitu vidogo , hivyo vya picha si ndo kabisa .
Can't write it here na sipendi maneno since inanihusu sana .
Nishapotezea jirani hapa najiandaa kwenda church ..Jirani unawaogopa[emoji16]
😀😀😀Pole dearSiwezi kujianika 😂😂
Nikae kimya tu
Acha tu kaka yameisha .Mdogo wangu wamekufanyaje tena?
Shukrani sana 😍😍😀😀😀Pole dear
Kula maisha jiraniNishapotezea jirani hapa najiandaa kwenda church ..
Rohoo kwatu mie sina habari [emoji23][emoji23]
Mjep naomba nikununulie vocha hata ya miatanoNipe ela mimi nikuhadithie
Niandikie hata pm please [emoji3064]Kama wanamind vitu vidogo , hivyo vya picha si ndo kabisa .
Can't write it here na sipendi maneno since inanihusu sana .
Ubuyu nao ni Suna?😅Weee usiniambie hebu fanya kutupa ubuyu 😀
Dah 😂😂😂Niandikie hata pm please 🥺
Hapa yaweza leta maneno
Nizamie PM iko wazi🤗
Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimejua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu😂😂😂😂😂😆🔥
bila mazoezi??View attachment 2680304
Green juice for weight loss, a healthy fat burning which help detoxify the body by removing all the toxins from the body, ni nzuri pia kutoa kitambi kama changu kinaanza toka 😊
Nikajikuta nina uadui na mtu bila mimi mwenyewe kujua[emoji38]Dah [emoji23][emoji23][emoji23]
Mazoezi nafanya na nimerudi mda huu kutoka mazoezibila mazoezi??
Ndivyo ilivyo kwenye watu wengi na kila mtu ana akili, mtazamo na mahangaiko yake. Humu tabia za hovyo zipo nyingi sana.Nikajikuta nina uadui na mtu bila mimi mwenyewe kujua[emoji38]
Jf noma sana
Aliyenigombanisha na mtu aisee alaaniwe.
Sema naye aliyeconclude kunihukumu ni kiazi sana..huwezi mkasirikia mtu pasi hata na kumuuliza mhusika.
Unakuja kugundua ukweli ni too late na tayari mtu ashakutoa kwenye undugu.