raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,505
- 35,687
Naona madogo meno nje kiongozi ulienda kuwamwagia madawati nn 😁Low cut mwanzo mwisho.View attachment 2681237
Naona madogo meno nje kiongozi ulienda kuwamwagia madawati nn 😁Low cut mwanzo mwisho.View attachment 2681237
Dokta hapa imekosekana kachumbari tu 😁
Asante sana mkuu.Ndio maana,pole na majukumu
Natamani ingekuwa hivyo ,nilikuwa na piga domo tu na suti yangu ya mchongo kama matapeli wa Karume.Naona madogo meno nje kiongozi ulienda kuwamwagia madawati nn 😁
One day itakua ,usijariNatamani ingekuwa hivyo ,nilikuwa na piga domo tu na suti yangu ya mchongo kama matapeli wa Karume.
Hamna kiongozi sio kwa kusindikizwa huko na msafafa 😄Natamani ingekuwa hivyo ,nilikuwa na piga domo tu na suti yangu ya mchongo kama matapeli wa Karume.
PamojaAsante sana mkuu.
Aliyetupikia kasahau!😵😵Dokta hapa imekosekana kachumbari tu 😁
Madogo walijua mnene kaingia ,kumbe ushuzi tu .Mwakani nikienda ntaenda hata na mfuko wa peremende😄😄Hamna kiongozi sio kwa kusindikizwa huko na msafafa 😄
HahahahahaMadogo walijua mnene kaingia ,kumbe ushuzi tu .Mwakani nikienda ntaenda hata na mfuko wa peremende😄😄
Dr,
sijui nitype nini😂Hii baridi inatukomesha sisi single girls🥺
Thanks for your concern & advice Dr!!!😊Dr,
Ni gahawa ama chai ya rangi?
Kama ni black tea, basi sipo hapa kuharibu utaratibu wa mlo wako..ila please punguza utumiaji wa chakula na chai ya rangi.
Chai hupooza umeng'enyaji haswa uvunaji wa madini chuma. Ambayo kikawaida ndiyo maalum kwa ajili ya kuongeza damu mwilini.
NB: Ni ushauri tu.
Hahaha!. Sikuiwaza.Thanks for your concern & advice Dr!!!😊
Ilikua ni Coca-Cola....
Hahahahaha2016 dunia nzima wenye akili tulikuwa tunajiona sisi tu.View attachment 2681299
Kwa sie wabobezi tuna angalia vidole vya miguu,kama yaliyomo yamo?