Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Acha tu kaka yameisha .Mdogo wangu wamekufanyaje tena?
Acha tu kaka yameisha .Mdogo wangu wamekufanyaje tena?
Shukrani sana 😍😍😀😀😀Pole dear
Kula maisha jiraniNishapotezea jirani hapa najiandaa kwenda church ..
Rohoo kwatu mie sina habari![]()
Mjep naomba nikununulie vocha hata ya miatanoNipe ela mimi nikuhadithie
Niandikie hata pm pleaseKama wanamind vitu vidogo , hivyo vya picha si ndo kabisa .
Can't write it here na sipendi maneno since inanihusu sana .









Ubuyu nao ni Suna?😅Weee usiniambie hebu fanya kutupa ubuyu 😀
Dah 😂😂😂Niandikie hata pm please 🥺
Hapa yaweza leta maneno
Nizamie PM iko wazi🤗
Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimejua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu😂😂😂😂😂😆🔥
bila mazoezi??View attachment 2680304
Green juice for weight loss, a healthy fat burning which help detoxify the body by removing all the toxins from the body, ni nzuri pia kutoa kitambi kama changu kinaanza toka 😊
Nikajikuta nina uadui na mtu bila mimi mwenyewe kujua

Mazoezi nafanya na nimerudi mda huu kutoka mazoezibila mazoezi??
Ndivyo ilivyo kwenye watu wengi na kila mtu ana akili, mtazamo na mahangaiko yake. Humu tabia za hovyo zipo nyingi sana.Nikajikuta nina uadui na mtu bila mimi mwenyewe kujua
Jf noma sana
Aliyenigombanisha na mtu aisee alaaniwe.
Sema naye aliyeconclude kunihukumu ni kiazi sana..huwezi mkasirikia mtu pasi hata na kumuuliza mhusika.
Unakuja kugundua ukweli ni too late na tayari mtu ashakutoa kwenye undugu.
Kaimba Nani hii?? Mbona mashairi makali saanaAliumba ardhi akaumba mbingu
Akaumba mbaramwezi kaumba nafsi, Kaumba wivu
Akayaumba na mapenzi na kukuacha sidhan
Siwezi jaribu maana penzi kwa mzani
Umenizidi mahabibu shika vyema usukani
Twende taratibu
Baada Ya tuta baby Koleza gia
Yani tam tam kama pipi nakuita sweet
Ah lote lote fundi kwenye kwichikwichi
Shape vipi kama lote
Vicheche nisha delete sitaki cheat
Wa toke toke kwenye moyo nimekupa seat
We ndo dereva, sio wa kukuacha oh![]()
hapo sawa, nikajua unatupiga kamba tu hapaMazoezi nafanya na nimerudi mda huu kutoka mazoezi
DahNdivyo ilivyo kwenye watu wengi na kila mtu ana akili, mtazamo na mahangaiko yake. Humu tabia za hovyo zipo nyingi sana.








najikuta Nina kesi


.Thanks buddyDiamond Platnumz
Humu ata mtu anichukie vip kwasasa napotezea tu mkuu sina mtu nae juana naeNiandikie hata pm please
Hapa yaweza leta maneno
Nizamie PM iko wazi
Mie humu nishawahi chukiwa na mtu,nikajengwwa chuki kama chui utadhani nimeua,kumbe aliambiwa maneno ya uongo,akayabeba na kuhukumu bila hata kuniuliza.
Nashangaa urafiki umekata juu kwa juu![]()
Humu ata mtu anichukie vip kwasasa napotezea tu mkuu sina mtu nae juana nae
kwa kweli