Niny sawa tuHahaa hapo sawa
🤣🤣🤣🤣 last born nilijua umelala.poleHumb mbunachati kwakuguanas hakityokewa mtu mpya mnam-ignoo.
Sawaa.
Umelewa na kinywaji gani mkuuHumb mbunachati kwakuguanas hakityokewa mtu mpya mnam-ignoo.
Sawaa.
Sina usingizi, sina mchumba, baridi kaliii. Na nikija hapa nakuwa lonely.last born nilijua umelala.pole
Haya ngoja tukuchangamsheSina usingizi, sina mchumba, baridi kaliii. Na nikija hapa nakuwa lonely.
Labda manzji..Umelewa na kinywaji gani mkuu
Yani mimi darasa la nne kweli jamani😂😂😂#Tbt
View attachment 2681916
Huu mwaka
mshamba_hachekwi yupo shule ya msingi ana struggle kuandikia pensel
Lovelovie yupo darasa la nne au la tano
Saint Anne yupo form four huka akiwa ni Mwalimu wa Sunday School Kanisani
Aaliyyah yupo form two anajiandae na mock 😂😂😂
Tinsley yupo Boarding ya kishua darasa la tano
To yeye yupo form three halafu ana limwili likuubwaaaa
kwenye pizza hata mjeda hakuna kuogopa
Salama kipenziTuko vyediii, vipii wee.
Karibu MkuuHumb mbunachati kwakuguanas hakityokewa mtu mpya mnam-ignoo.
Sawaa.
Asante,Karibu Mkuu
Selfika kwanza .
Analala vizuriAsante,
Tuselfike wote basi,
Unajua mgeni hawez kula pekee uake.
Kula*Analala vizuri
Nishaselfika mie zipo nyingi humu .
Okay na hiyo iphone uliyonunua ni gani
Kula*
Sasa mimi nitazionaje maana mi ni mgeni.
Au ngoja nizoee mazingira nitaselfika tuu.
Asante, kwa kunikaribisha rafiki mkarimu.Huwezi ziona zipo mbali na ugeni huo ndo kabisa .
Watu watakuzoea bila kukujua hata kidole .
Just go with the flow .
Mimi watu hawatonizoea, na sijui ni kwanin. Zaidi zaidi watanikwepa.Huwezi ziona zipo mbali na ugeni huo ndo kabisa .
Watu watakuzoea bila kukujua hata kidole .
Just go with the flow .