Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,583
- 66,268
Na siwez jaribuusijaribu utakufa ni mara 100 ya sigara
Na siwez jaribuusijaribu utakufa ni mara 100 ya sigara
WhyNaiogopa sana iyo shisha
Nasikia inachanganywa na bangi
endelea kunywa budweiser na flying fish za wadada😆Na siwez jaribu
Ahahahhaah nakumbuka k vant na savana ilichonifanyiaendelea kunywa budweiser na flying fish za wadada😆
Si kweli.. mtu akisema hivyo ujue kajimixia mwenyeweNasikia inachanganywa na bangi
Mjani gani tena kwaza tuachane na shisha ee nioneshe kucha zakoSi kweli.. mtu akisema hivyo ujue kajimixia mwenyewe
Bt ile km ile, haina mjani.
DuhAhahahhaah nakumbuka k vant na savana ilichonifanyia
mwanaume kunywa whisky ufe mapema bana😂Ahahahhaah nakumbuka k vant na savana ilichonifanyia
Ndio maana sasaiv naangaika na peps na apple 🍏 punchiDuh
Unafanywa mpk na savanna? Si urudi kwenye fanta tu
Mbususu nimwachie nani?mwanaume kunywa whisky ufe mapema bana😂
mshamba hachekwi, mjanja hajioneshi😀Mbususu nimwachie nani?
Af kuna wale watu wenyewe wana wivu wakikuona tu unamwagilia moyo utasikia ajajenga anakazi ya kulewa

nilisutwa na nikapandishwa na kushushwa eti kimtu chenyewe una matege na blah blah nyingiiiibHiyo misuto ni ya kawaida sana 😂
😂😂😂Ungemwambia hili tege la kuvalia suti 😂😂nilisutwa na nikapandishwa na kushushwa eti kimtu chenyewe una matege na blah blah nyingiiiib
Leave the sweet beer alone.endelea kunywa budweiser na flying fish za wadada😆
Tatizo la watanzania hampendi kuambiwa ukweliAf kuna wale watu wenyewe wana wivu wakikuona tu unamwagilia moyo utasikia ajajenga anakazi ya kulewa
Nielimishe sasamshamba hachekwi, mjanja hajioneshi😀