Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,536
- 66,066
Maana uko nimeona wanakusimanga kila.demu humu wewe unamtaka eti macho yako kama jua upitwi na kituwe nichokozeš
Maana uko nimeona wanakusimanga kila.demu humu wewe unamtaka eti macho yako kama jua upitwi na kituwe nichokozeš
Zinaonekana.soomth sanaTayar mbona View attachment 2682169
Yah tamu sana za tangawizi Zina ladha flan hivZinaonekana.soomth sana
Nazipataje sasa.mpemba.wanguYah tamu sana za tangawizi Zina ladha flan hiv
Ngoja nikufanyie utaratibu uzipateNazipataje sasa.mpemba.wangu
That why I love you ukifa wewe hauozi na ukioza unuki na ukinuka haupukutikiNgoja nikufanyie utaratibu uzipate
šššThat why I love you ukifa wewe hauozi na ukioza unuki na ukinuka haupukutiki
Sasa ulivyo na roho safi kama.maj ya.kilimanjaroššš
HureeeeeDepal njoo uchukue zawadi kutoka Kaskazini, Magharibi, Mashariki na Unguja!View attachment 2682164
NimetamaniHureeeee
Pole & hongera kwa safari..
Tule kwanza, kisha tufungue zawadi šššView attachment 2682193
oya hizo MB 2.2 utanisamehe sifunguišSamsung picha ziro nimeamua niwe na.simu mbili ya picha na.ya maongezi mshamba_hachekwi nikuazime moja?
Mkuu nikopeshe 10000 nitakupa ukitoka likizoView attachment 2682250
Likizo tukutane Zanzibariā¦
ššSamsung picha ziro nimeamua niwe na.simu mbili ya picha na.ya maongezi mshamba_hachekwi nikuazime moja?
Mkuu nikopeshe 10000 nitakupa ukitoka likizo
Ahahah utafuangua kwalazimqoya hizo MB 2.2 utanisamehe sifunguiš
bora ujichange tu ununue iphone 14, pixel 7 au S23 kuliko ujitese na sim 2
Nikipig pich natoka na ukungušš
Na pasi tenaSamsung picha ziro nimeamua niwe na.simu mbili ya picha na.ya maongezi mshamba_hachekwi nikuazime moja?
Itapendezaid ukituma na ya kutoleaUtanitumia namba yako PM nitarusha kupitia wakala