Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀Itakuwa badae uliumiasana
Kisa chenyewe ni cha ajabu sana aisee, ofcourse baadae nilimsimulia Mshikaji Yeye ndio akaumia kuliko Mimi na akanishawishi tukaanzishe vurugu kwa yule Binti mmoja ambaye ndiyo alikuwa chanzo.

Kisa chenyewe ni hivi
Huyo binti alikuwa anaitwa J, sasa huyo Binti alikuwa anaishi kwa Bibi yake na tunatoka wote kanda ya Ziwa na Mimi Kilugha naongea vizuri sana na Bibi yake nilikuwa napiga naye sana story kwa Kilugha na alikuwa anafurahi sana. Sasa akawa anamzingua huyo Mjukuu wake J unamwona huyu Kijana tena wa Nyumbani kabisa na mzuri halafu Mchangamfu na misifa kibao ya yule Bibi. Si unajua Bibi utani mwingi na Mjukuu na Mimi nikawa namwambia kimasihara nakuacha Wewe nachukua Mchumba mwingine 😂😂
Sasa ule utani yule J nadhani alichukulia serious kuwa Mimi namtaka coz nilikuwa namzingua Bibi yako kaniruhusu we uwe GF wangu. Yule binti alikaa na lile wazo kichwani na akawa anafikiri hivyo. Mpaka shuleni akawa anatamba kwa mwenzake. Huyo Mwenzake ndio alikuja juu sana na ndio chanzo cha Mimi kusutwa maana waliniweka kati yaani nani ninampenda kati ya J na M. Yaani ulikuwa ni msuto wa kiboya sana kwa jambo ambalo halikuwa halisi. 😂😆😆😆
 
Kisa chenyewe ni cha ajabu sana aisee, ofcourse baadae nilimsimulia Mshikaji Yeye ndio akaumia kuliko Mimi na akanishawishi tukaanzishe vurugu kwa yule Binti mmoja ambaye ndiyo alikuwa chanzo.

Kisa chenyewe ni hivi
Huyo binti alikuwa anaitwa J, sasa huyo Binti alikuwa anaishi kwa Bibi yake na tunatoka wote kanda ya Ziwa na Mimi Kilugha naongea vizuri sana na Bibi yake nilikuwa napiga naye sana story kwa Kilugha na alikuwa anafurahi sana. Sasa akawa anamzingua huyo Mjukuu wake J unamwona huyu Kijana tena wa Nyumbani kabisa na mzuri halafu Mchangamfu na misifa kibao ya yule Bibi. Si unajua Bibi utani mwingi na Mjukuu na Mimi nikawa namwambia kimasihara nakuacha Wewe nachukua Mchumba mwingine 😂😂
Sasa ule utani yule J nadhani alichukulia serious kuwa Mimi namtaka coz nilikuwa namzingua Bibi yako kaniruhusu we uwe GF wangu. Yule binti alikaa na lile wazo kichwani na akawa anafikiri hivyo. Mpaka shuleni akawa anatamba kwa mwenzake. Huyo Mwenzake ndio alikuja juu sana na ndio chanzo cha Mimi kusutwa maana waliniweka kati yaani nani ninampenda kati ya J na M. Yaani ulikuwa ni msuto wa kiboya sana kwa jambo ambalo halikuwa halisi. 😂😆😆😆
Hiyo misuto ni ya kawaida sana 😂
 
Screenshot_20230708-174343_Gallery.jpg

Huku ndiko wenzenu tunaona pis kali mpaka unasema Huyu Mungu ulimuumba wewe au ulikosea ukampendelea mshamba_hachekwi fanya utembee acha kushinda na Poor Brain utaokota pisi chafu njooni huku wazeee sawa tumieni pesa makaratasi tu hayo mimi domi zege tu lakini ningekuwa sio domo zege ningekuwa nimekula sana mpaka nikinai Mzee wa kupambania nipe darasa BinSalum7 nikutume humu kuna mdada nampenda kuongea naogopa
 
View attachment 2682140
Huku ndiko wenzenu tunaona pis kali mpaka unasema Huyu Mungu ulimuumba wewe au ulikosea ukampendelea mshamba_hachekwi fanya utembee acha kushinda na Poor Brain utaokota pisi chafu njooni huku wazeee sawa tumieni pesa makaratasi tu hayo mimi domi zege tu lakini ningekuwa sio domo zege ningekuwa nimekula sana mpaka nikinai Mzee wa kupambania nipe darasa BinSalum7 nikutume humu kuna mdada nampenda kuongea naogopa
nina allergy na mbunye😂
 
Back
Top Bottom