Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Mtoto mbichi kabisa we, si ajabu hata ule mti wa kutambua mema na mabaya hujaugusa kabisa...Tema mate chini😂
Unadhani mimi mtoto mwenzenu?
Mtoto mbichi kabisa we, si ajabu hata ule mti wa kutambua mema na mabaya hujaugusa kabisa...Tema mate chini😂
Unadhani mimi mtoto mwenzenu?
Kwema mkuu, mambo vipi?Mkuu Post M-alone kwema mzee
Kuanziaa leo uwe unanipa shkamooMtoto mbichi kabisa we, si ajabu hata ule mti wa kutambua mema na mabaya hujaugusa kabisa...
Thank you dear si mahusiano ilaTaratibu utazoea.
Mimi mwenyewe rship ya mwanzo ilivyovunjika sikulala ile wiki japo hakuna nilichopoteza.
Nikikumbuka huwa nacheka jinsi nilivyokuwa zwazwa.
Wacha weeee!!Mimi nakosa amani kidogo lakini Mungu anajua yote.
Kama kitu si chako anakitoa..kile chako hata kama hakipo mikononi mwako,ipo siku kitakuja.







Mdogo wangu angalia, utapata laana bure, hebu niamkie kwanza..Kuanziaa leo uwe unanipa shkamoo
Hebu simulia, tia nyamanyama kiasi. Nipo GR nashusha vyombo naselfikaTaratibu utazoea.
Mimi mwenyewe rship ya mwanzo ilivyovunjika sikulala ile wiki japo hakuna nilichopoteza.
Nikikumbuka huwa nacheka jinsi nilivyokuwa zwazwa.
Wacha weeeeee!!Huko tena ndio kabisaa
Mtu akiondoka si nabaki na watoto wangu tunaendelea kula ugali.




😁Wacha weeeeee!!
Sauwasauwaa sauwaaaaa!!
![]()
Karibu ntakutake care softlyThank you dear si mahusiano ila
lately sikuwa sawa kabisa .
Stress bado ndo inaishia , hopeful mambo yatakuwa sawa
🏃♂️🏃♂️Taratibu utazoea.
Mimi mwenyewe rship ya mwanzo ilivyovunjika sikulala ile wiki japo hakuna nilichopoteza.
Nikikumbuka huwa nacheka jinsi nilivyokuwa zwazwa.
Ndio hivyohivyo tu sikulalaHebu simulia, tia nyamanyama kiasi. Nipo GR nashusha vyombo naselfika
Umefuraaahi🏃♂️🏃♂️
Kupitia muda ndo unaanza kumuachilia mtu kidogo kidogo .Mimi nakosa amani kidogo lakini Mungu anajua yote.
Kama kitu si chako anakitoa..kile chako hata kama hakipo mikononi mwako,ipo siku kitakuja.
We Mtoto uwe na adabu.Mdogo wangu angalia, utapata laana bure, hebu niamkie kwanza..
Tena wewe huwa natamani sana kukuona ukiwa umeolewa au tu ile uko kwenye maloveee motro motrooo yanii natamani mnooo sijui kwaniniTaratibu utazoea.
Mimi mwenyewe rship ya mwanzo ilivyovunjika sikulala ile wiki japo hakuna nilichopoteza.
Nikikumbuka huwa nacheka jinsi nilivyokuwa zwazwa.

Mpaka afike dukani, atasema pipi mfuko mzima..
Thank youKaribu ntakutake care softly
HapaaaHahahah ukipenda lazima ulie jamani
Uachwe na unayempenda aisee inauma ile mbaya.
Tuna safari ndefu , acha tujifunze



Nasoma koments