Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Thank you dear si mahusiano ila
lately sikuwa sawa kabisa .
Stress bado ndo inaishia , hopeful mambo yatakuwa sawa
Mimi mwenyewe nilishawahi kutofautiana na rafiki ambaye alikuwa kama Ndugu,,kwa ugomvi wa kijinga tu.
Nilikosa amani.
Ila kama Mungu alidhamiria muwe karibu mtakuwa tu bila kujali Chochote..
Alininunia baadaye alijirudi mwenyewe.

Kitu kama ni Chako basi ni Chako tu,hata kama kwa sasa hakipo mikononi mwako ila inakuja siku kitarudi.
 
Mimi mwenyewe nilishawahi kutofautiana na rafiki ambaye alikuwa kama Ndugu,,kwa ugomvi wa kijinga tu.
Nilikosa amani.
Ila kama Mungu alidhamiria muwe karibu mtakuwa tu bila kujali Chochote..
Alininunia baadaye alijirudi mwenyewe.

Kitu kama ni Chako basi ni Chako tu,hata kama kwa sasa hakipo mikononi mwako ila inakuja siku kitarudi.
Mimi marafiki wananiangusha daily ndo maana najitenga fulani aisee maana wananipiga na vitu vizito .

Ndo maana sipo social kihivyo naogopa hahaha

Yeah kama imeandikwa mtakuwa pamoja , mtakuwa tu
 
Mimi marafiki wananiangusha daily ndo maana najitenga fulani aisee maana wananipiga na vitu vizito .

Ndo maana sipo social kihivyo naogopa hahaha

Yeah kama imeandikwa mtakuwa pamoja , mtakuwa tu
Chagua marafiki wachache wa kweli.
Hata akiwa mmoja ni sawa , kikubwa awe wa kweli.

Kuliko kuwa na marafiki 100 wa uongo.
 
Shetani alinipiga matukio mwaka huo ,Mungu tu ndo alinishindia ..
Kila sehemu vita aisee , moyo ukaumia .
Anyway Mungu ni mkuu akanishindia yote .
Dah masikini🥺
Pole.

Mtumishi mmoja anasema mpe Mungu moyo wako .
Ukiweka moyo wote Kwa rafiki au mchumba ,siku wakikuumiza utaumia sana..
Lakini Mungu ukimpa Moyo wako hawezi kukudisappoint..
Hata kama utakuwa disappointed na wengine bado utakuwa na nguvu maana yupo Mungu ambaye umempa nafasi Kubwa na ni WA thamani kuliko vyote.

Na Mungu ukimpa nafasi yote Moyoni, basi hapatakuwa na uwazi wa kubeba watu waliokuumiza.
 
Asante najua hilo , sihaingaiki na so called friends .
It has been six years toka niaachane na ushosti mie
😃
Mimi nimejifunza kutoweka matarajoo makubwa kwa watu.
Watu wanabadilika aisee...
Unayedhani ni rafiki yako kumbe hata,, mwenzio hakuoni hivyo.
Unamchukulia mtu kama ndugu yako Kumbe mwenzio walaaa.

Akufaaye Kwa dhiki hiyo ndiye wa kubaki naye.
 
Back
Top Bottom