Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa we si shoga kwani tusi?
Sio tusi hata, ni mavutio ya hisia za kimapenzi kwa mtu fulaan.

Vipi sasa kumjadili na kubishana mda wote, juu ya mtu fulan kwan mnataka nn kwake? Si mmeshautangazia umma na wamesikia??
, kuna jingne tena?

Kila siku mada ni hiyo hiyo, khaaaaaaaah. Kwan lazima wote waelewe na kukubali wasikiacho?? Kila mtu aamini anavyoona yeye kwake ni sawaa.

Mmeishiwa vya kujadili?????? Khaaaaah
 
Sio tusi hata, ni mavutio ya hisia za kimapenzi kwa mtu fulaan.

Vipi sasa kumjadili na kubishana mda wote, juu ya mtu fulan kwan mnataka nn kwake? Si mmeshautangazia umma na wamesikia??
, kuna jingne tena?

Kila siku mada ni hiyo hiyo, khaaaaaaaah. Kwan lazima wote waelewe na kukubali wasikiacho?? Kila mtu aamini anavyoona yeye kwake ni sawaa.

Mmeishiwa vya kujadili?????? Khaaaaah
Poker huyo ameifufua. msiewww😂😂😂😂😂😂😂

Relaxxx shousss
 
Watu wanateseka na mie, hawana furaha ya maisha kisaa cocaa.
, hawaoni, hawasikii ni mie tyuuh.

Wanaumiaaaaa na kuhaha. Afu mie sina habari na sio shida zangu.

Waleteeeeeeeeeeeeeeeeeee. Weraaaaaaaaaaaaaaah!!!!!!
Weuwee shous huyooo🔥🔥🔥🔥
 
To us🍻
Wapiga vyomboo
 

Attachments

  • JamiiForums1252964002.jpeg
    JamiiForums1252964002.jpeg
    48.8 KB · Views: 4
Utaua mapigo my saint na ulivyo hodari jikoni? Wanasema ukikuta mwanamke ni hodari jikoni na msafi basi jua hata kwa mchezo wa mapenzi ni hodari na msafi!
Jikoni Kwa mchongo😂
Mbeya na kupika wapi na wapi!
 
siku hizi nimekuaa, sina heka heka km zaman, maaan leo kingewaakaaaaa humu.

Uwiiiiiiiiiiih, now nshakua mtu mzimaaa. Bas ni kupuuuzaaaa tyuuuh
Weuweeeee shouz yetu mtu mzima siku hizi jomoneh
Nyieeeh acheni Ukorofi sieeeeeew
 
Back
Top Bottom