cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Sio tusi hata, ni mavutio ya hisia za kimapenzi kwa mtu fulaan.Sasa we si shoga kwani tusi?
Vipi sasa kumjadili na kubishana mda wote, juu ya mtu fulan kwan mnataka nn kwake? Si mmeshautangazia umma na wamesikia??







, kuna jingne tena? Kila siku mada ni hiyo hiyo, khaaaaaaaah. Kwan lazima wote waelewe na kukubali wasikiacho?? Kila mtu aamini anavyoona yeye kwake ni sawaa.
Mmeishiwa vya kujadili?????? Khaaaaah

