cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
Abeeeeeeeeh shouzzzzzz!!!! Irudiweeeeee!!!
Abeeeeeeeeh shouzzzzzz!!!! Irudiweeeeee!!!
38 ml kwa ki crown parefuu! Mi nikajua at least 20 ml. 🙄 Duh embu tafta ya bei chee ntaumbuka mchana kweupee! 😳 Una roho ngumu hata hunionei huruma mwanaume mwenzio?Lizzy hii gari ikifukie kwanza 😀😀View attachment 2337766
Pole sana kijana wangu, Mungu aliyekunusuru akuponye kabisaHabari wanaselfika
Alhamisi nlipata mtihan kidogo barabarani nlipata ajali nlkua abiria kwenye bajaj mbaya zaidi nilikaa kwenye siti ya kiherehere
Nashukuru naendelea vizuri nlipata cut ya kioo uson na majeraha ya goti
Alamsiki
Vitamu sawa napenda
Mwenyeji had njaa imeanza kuuma, sio kwa msosi huu. Lol.#lunchforone View attachment 2337443
Pole sana mkuu. Kwa sa hivi unaendeleaje? Tunakuombea upone mapema nduguHabari wanaselfika
Alhamisi nlipata mtihan kidogo barabarani nlipata ajali nlkua abiria kwenye bajaj mbaya zaidi nilikaa kwenye siti ya kiherehere
Nashukuru naendelea vizuri nlipata cut ya kioo uson na majeraha ya goti
Alamsiki
Mama kachanga hujambooo??? Hebu tumuonee babee kid baas, nataka nije na baby kits.Mungu ni mwema. Tunaendelea vizuri na zoezi; taratibu tunarudi kwenye formula
Fanya basi hata Audi A1 kama itakupendeza alafu kama Lizzy ataielewa nitakuambia 😀😀38 ml kwa ki crown parefuu! Mi nikajua at least 20 ml. 🙄 Duh embu tafta ya bei chee ntaumbuka mchana kweupee! 😳 Una roho ngumu hata hunionei huruma mwanaume mwenzio?
😂😂😂niache bana nikuwe🤣🤣🤣🤣
Naomba usikue mkubwa kwanza subiri subiri kidogo
Ila jana ulinichekesha sana, aki sikutegemea.
Ungeendaga tu bongo movie tupige hela🤣🤣
Mwepesiii 🫡🫡

Uko wapiiiiiii??? Dyadyaaa.Mungu ni mwema,alisharuhusiwa.
Hujambo jirani,..weekend yako inaendaje.😂😂😂niache bana nikuwe
Hatujachelewa, twende jua kali 😂😂😂😂
Yaaan npo hapa napiga umbea na mama, nimewakuta dagaa wabichi wamekaangwaa, nimewala bila ugali, nmeshibaa,Ushafika,ushaoga,ushakula,ushalala,
Dear now kuna dagaa balaa,wabichi,madafu![]()




😂😂 aje tu kusema kama yuko hai, afu akwendeeee🤣🤣🤣🤣 ili aondoke tena au