Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amen 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Na siku zote udhaifu haupo pale kuonesha namna gani tusivyo weza, bali upo pale kutuonesha namna gani tuna muhitaji Mungu. Udhaifu mkubwaa deep intimacy na Mungu. Woote una waona walio kuwa na ukaribu na Mungu ni watu ambao wana madhaifu makubwa ukisimuliwa unaweza kulia, kuna watu wa Mungu wapo vizuri ila wana miiba, wakicheza kidogo tu wanaanguka, hayo mazingira yana wapush kila mda kumtafuta Mungu na matokeo yake wanakuwa 🔥🔥🔥🔥🔥
 
Na siku zote udhaifu haupo pale kuonesha namna gani tusivyo weza, bali upo pale kutuonesha namna gani tuna muhitaji Mungu. Udhaifu mkubwaa deep intimacy na Mungu. Woote una waona walio kuwa na ukaribu na Mungu ni watu ambao wana madhaifu makubwa ukisimuliwa unaweza kulia, kuna watu wa Mungu wapo vizuri ila wana miiba, wakicheza kidogo tu wanaanguka, hayo mazingira yana wapush kila mda kumtafuta Mungu na matokeo yake wanakuwa 🔥🔥🔥🔥🔥
Unapiga mule mule Baba Mchungaji. Wakati mwingine madhaifu yetu yanatukunguwaza sana mpaka tunashindwa kuishi maisha na destiny tuliyopangiwa na Mungu. Mpaka tunatafuta visingizio maana mara nyingi destiny zetu zinaambatana na mapito yaliyojaa hekaheka.

Inahitaji maono na kufunuliwa sana ili kutambua kwamba nguvu zetu halisi zimo katika udhaifu wetu.

Endelea kubarikiwa!
 
Na siku zote udhaifu haupo pale kuonesha namna gani tusivyo weza, bali upo pale kutuonesha namna gani tuna muhitaji Mungu. Udhaifu mkubwaa deep intimacy na Mungu. Woote una waona walio kuwa na ukaribu na Mungu ni watu ambao wana madhaifu makubwa ukisimuliwa unaweza kulia, kuna watu wa Mungu wapo vizuri ila wana miiba, wakicheza kidogo tu wanaanguka, hayo mazingira yana wapush kila mda kumtafuta Mungu na matokeo yake wanakuwa 🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah, mwamba leo umeshukiwa na Roho Wa Bwana....
 
Na siku zote udhaifu haupo pale kuonesha namna gani tusivyo weza, bali upo pale kutuonesha namna gani tuna muhitaji Mungu. Udhaifu mkubwaa deep intimacy na Mungu. Woote una waona walio kuwa na ukaribu na Mungu ni watu ambao wana madhaifu makubwa ukisimuliwa unaweza kulia, kuna watu wa Mungu wapo vizuri ila wana miiba, wakicheza kidogo tu wanaanguka, hayo mazingira yana wapush kila mda kumtafuta Mungu na matokeo yake wanakuwa
Kuna siku Pasta alisema unadhani ungekuwa mkamilifu Kwa kila kitu,ungepata muda wa kumtafuta Mungu??

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom