National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,198
Kulikua na bongesa la mselfii ya Boss vochaa a.k.a Mjep the great kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiinnnggggg!!






King wa Selfika?? Mgawa vochaa?? Arudie haraka sanaaaaa, yaan sitaki kupitwa tenaaa!!!!Eendiwoooooooo.. irudiwee irudiwee wapi mr vouuchaaaa!!![]()
Naam huyu ndiye kipenzi changuUsema kweli Lizzy anataka kama hii kidogo ungepata nafasi hata ya kuona sura yake na kusikia sauti yake.. sasa tufanyaje ndugu yangu na wewe una 20 mill tu 🥹🥹View attachment 2337786
Yupps!!Wewe ni jeeplover mwenzangu?
Heeeeey! Basi tena nimeshindwa msije niuwa na presha mi mwenyewe naendesha ka vanguard! 🙌 Nimesalimu Lizzy huyu dalali wako National Anthem ananikomoa 160ml si robo ya mtaji huo? Nehi nehi! 🙆🏻♂️🏃Usema kweli Lizzy anataka kama hii kidogo ungepata nafasi hata ya kuona sura yake na kusikia sauti yake.. sasa tufanyaje ndugu yangu na wewe una 20 mill tu 🥹🥹View attachment 2337786
Arusha kuna wataalamu wana fanya modification inakuwa kama hizi. Nimeona watu waili Dar es Salaam wanazo na walizifanyia modification Arusha, ingawa sio harisi na OG kama hii.. kwenye jeep nayo ielewa ingawa ni parefu naishi kuziona yutube nii hii Makiwendo yake Charokee sema nahisi ya mwaka 2015 kuja juuNaam huyu ndiye kipenzi changu
🔥🔥🔥🔥 hii kitu acha kwenye muundo huu Jeep kama ana hatimiliki wengine hujaribu kutoa kama hizi wana fail
Arudie haraka sanaaaaa, yaan sitaki kupitwa tenaaa!!!!
Fanya kumwita arudie basi shoss akee !!Arudie haraka sanaaaaa, yaan sitaki kupitwa tenaaa!!!!
Duh poleHeeeeey! Basi tena nimeshindwa msije niuwa na presha mi mwenyewe naendesha ka vanguard!Nimesalimu Lizzy huyu dalali wako National Anthem ananikomoa 160ml si robo ya mtaji huo? Nehi nehi!
![]()
Pole Sana Dr,Habari wanaselfika
Alhamisi nlipata mtihan kidogo barabarani nlipata ajali nlkua abiria kwenye bajaj mbaya zaidi nilikaa kwenye siti ya kiherehere
Nashukuru naendelea vizuri nlipata cut ya kioo uson na majeraha ya goti
Alamsiki

King wa Selfika?? Mgawa vochaa??
Nimecheka mnoooo, uwiiiiih
Afu huna umbea wowote unipe?? Maana nawashwa mnooo kwa kutaka kupewa udaku na ubuyuuu.
Nisaidie shouzzzzzz puliiiiizzzzzz!!!!!
Lol mie na Umbea kus na kas shos angu hebu nitonyeee!!! Kuna mpyaa?? Nakuja tsup shostie usintanieeee 🏃🏼♀️🏃🏼♀️King wa Selfika?? Mgawa vochaa??
Nimecheka mnoooo, uwiiiiih
Afu huna umbea wowote unipe?? Maana nawashwa mnooo kwa kutaka kupewa udaku na ubuyuuu.
Nisaidie shouzzzzzz puliiiiizzzzzz!!!!!
Jeep ni kitu ingine mkuu🔥🔥🔥🔥 hii kitu acha kwenye muundo huu Jeep kama ana hatimiliki wengine hujaribu kutoa kama hizi wana fail
🫣🫣🫣 kizuri gharama, uza hiyo Vanguard changanya na ukicho nacho tumchukulie hata haka hapa, uza Vanguard hata 25 jumlisha na hiyo 20 inakuwa 45 million au unasemaje LizzyHeeeeey! Basi tena nimeshindwa msije niuwa na presha mi mwenyewe naendesha ka vanguard! 🙌 Nimesalimu Lizzy huyu dalali wako National Anthem ananikomoa 160ml si robo ya mtaji huo? Nehi nehi! 🙆🏻♂️🏃