wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,470
- 2,095
Nisamehe Nkamu nikajisahau.Nkamu ujue naisubiri hii picha tangu ijumaa
Ngoja nikutumie 😅
Nisamehe Nkamu nikajisahau.Nkamu ujue naisubiri hii picha tangu ijumaa
☺️☺️☺️☺️🤗Inamaana hujui kama nakupenda xna Lizzy
Jinsi ulivyoumbika amini ya kuwa moyo wangu umeuteka!
Uzuri wa sura yako Lizzy unanipa presha, nikiskia jina lako natamani kukufata ulipo mamito! Natamani uende kwetu ukale wali na samaki. Sema unachotaka mi ntakupatia Poker nimechoka jamanii na uzuri wako National Anthem embu nawewe tupiamo mistari kazaa!
Hapo huchomoi aunt🤣🤣🤣☺️☺️☺️☺️🤗
Hii mistari ya kubembelezea usingizi kabisa hii 😁😁
Nikawaza tu kuwa Nkamu wangu siyo mswahili.Nisamehe Nkamu nikajisahau.
Ngoja nikutumie![]()
Safiii sana jirani, Mungu akubarikiMungu ni mwema. Tunaendelea vizuri na zoezi; taratibu tunarudi kwenye formula
Safiii sana..
Roho Wa Mungu kila siku yupo nasi kila nukta ya pumzi, kama neno la Mungu linavyosema hatotuacha paka mwisho wa dahari na hayo mafuta aliyo yaachia ndani yetu huyo Roho wa kweli. Sema Mungu ametutoa wengine kwa deep deepest dark darkness 😀😀 wakati mwingine ukisha ji mix na old wine basi kidogo unapata moto hasa makazini ili ziende lazima wakati mwingine uwe wa moto. Ila Mungu yuko kazini bado ana repair chombo chake , maana hata hapa tulipo ni kwa neema wengine huenda ingekuwa history zamani, .. toka jana haka ka wimbo hakajatoka masikioni mwangu, nikilala nikiamka ninako tuDaaah, mwamba leo umeshukiwa na Roho Wa Bwana....
Nafurahi kusikia kuwa Mungu akusaidiaBro Mungu anasaidia aisee. Umepotea sanaa..!
Jua kwamba wewe ndio wangu na sura yako ndio dawa yangu na mahaba yako ni tiba kwangu!☺️☺️☺️☺️🤗
Hii mistari ya kubembelezea usingizi kabisa hii 😁😁
Hata anguko la Lucifer ni ukamilifu. Na nyakati ambazo mtu anajiona mkamilifu ndio anguko lake lilipo.. Kuna kipindi dhambi inapata nguvu ndani yetu kwasababu Mungu anatuita na sio kwamba ana tufukuzaKuna siku Pasta alisema unadhani ungekuwa mkamilifu Kwa kila kitu,ungepata muda wa kumtafuta Mungu??
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mkuu sound za hivi za maneno hazifanyi kazi, nenda zaidi ya hapa mkuu 😄😃😃.. kila mtu ana mdomo wa kuongea maneno kama haya.. Unaone wenzako kina Harmonize wanapeleka Range Rover Evoque na majina yao wanao wataka 😄😄😄😄Jua kwamba wewe ndio wangu na sura yako ndio dawa yangu na mahaba yako ni tiba kwangu!
Ebu tasmini kisha nipe jibu hivi kwanini hutaki kunipa nafasi kwenye moyo wako?
Nakuitaji sana kwani wewe ndio faraja yangu.
Niamini na unipe nafasi naahidi kukupenda na kukujali kamwe hutojutia kumpenda Poker
Kwetu Tanga samaki ni jodari mamito!
Mmmmhhhh sijasemaMungu ni mwema. Tunaendelea vizuri na zoezi; taratibu tunarudi kwenye formula
Ooh! Pesa siyo tatizo kwa pedeshee Poker hapa ni kisiwa cha pesa japo najua Lizzy ni tajiri sana anamiliki 5 star hotel hapo Zanzibar! Ila hizo marange sijui ma V8 ntamdanganya ila hivi vi ist cjui vi crown vi noah namzawadia! Wewe nipigie pande mkuu pesa siyo shida hata siku moja! 😉Mkuu sound za hivi za maneno hazifanyi kazi, nenda zaidi ya hapa mkuu 😄😃😃.. kila mtu ana mdomo wa kuongea maneno kama haya.. Unaone wenzako kina Harmonize wanapeleka Range Rover Evoque na majina yao wanao wataka 😄😄😄😄
😀😀😀 Mpelekee kwanza Crown GRS204 ya kuanzia 2010+.
How much does it cost?😀😀😀 Mpelekee kwanza Crown GRS204 ya kuanzia 2010+.
Kuzagamuana who?? which?? where??Leo watu wamelala au bado wako busy na mizagumuano ya morning glory kukwichikwichi







Ameeeeeeeen!!!!!Habari za jumapili wapendwa.
Mkawe na siku iliyobarikiwa wakuu