Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Utakuja kufiwa na vibabu lodge mjukuu wangu upate mikosi. Kuna kamoja kalizima mwezi Mei yaani ilikuwa aibu tupu maana kalikuwa kanaheshimika sana.

Kamebeba mzinga wa supa dupa yutong tena imeolewa kakapiga viagra moja kakaona mtambo haujasimama sawasawa kakaongezea nyingine. Pfuuu kakazima mazima. Yutong ikapaniki hiyooo ndukii na taulo tu kwenda front desk. Aibuu tupu yaani. Nenda navyo polepole mjukuu vinginevyo kwa mizagamuo yako unayosimuliaga humu ni suala la muda tu kuzimikiwa na hivi vibabu
ila vibabu sasa jaman havikomi, nimecheka mbavu cna hapa. Wao wanazidi si wanaona wajukuu zao wa kiume wanafaidi acha wafe tyuuh. Uwiiiioh
 
Duh
Yan huwezi amini,, ndio nasikia sahivi haya mambo


Wanatumia watu gani? Waliokwisha pata watoto or?

Ah vipo sana
Huko insta wamejazana hao na ushuhuda juu
Wanatushushua sisi ambao hatujali naniliu .. slogan zao hizo .

Wanatumia watu wote haijalishi kama bado hujazaa wala nn , inasafisha pia huko na kuondoa nuksi .
 
Hold on

Average distance from vulva to the cervix its between 3 cm to 7 cm,,,

Average distance from vulva to the g spot is 2.4-3.5 cm

And ili iwe ya haja kwako lazima iwe 25cm,, which is
3 times the maximum distance of cervix from vulva
and 7 times the maximum distance of g spot from vulva
Mate u are just woooow
hii lugha sasa,
Heaven Sent mama malezi nidadavulie.

Ila mate bhana uwiiiiih
 
Nimefundisha pale zaidi ya miaka 10. Hakuna jipya ambalo silijui pale. Hata kuanzia 2022 - 2023 academic year nitakuwa hapo...God willing

Mabinti wanaponzwa na tamaa lakini pia wengine ni kweli wana hali ngumu kiuchumi hasa hawa wanaotoka mikoani huko familia za kawaida hawana ndugu mjini na HESLB nao wanawazingulia. Ni shida tupu yaani!
Ukija UD ntakua nashinda hapo ofisini kwako babuuuh.
 
If you want it, girl, come and get it
All this is here for you
Tell me, baby, tell me, tell me, baby
What you tryna do?
JPEG_20220627_214744_4348018360765531562.jpg
 
Back
Top Bottom