Nawashauri mjiweke mbali na kuchokonoa injini dada zangu, mara nyingi huwa majuto baadae.Erh ndio![]()
Yaan vinabana uke? Kheeeh kazi ipooo.Okay dear
Hivi ni vijiti vilivyotengenezwa kwa mimea iliyosagwa, mimea, na vitu vingine vya ajabu, ambavyo wale wanaohangaikia kubana kwao wanahimizwa kuviingiza ndani ya uke wao kwa dakika mbili.
Nawashauri mjiweke mbali na kuchokonoa injini dada zangu, mara nyingi huwa majuto baadae.
Kuna kudanganyana sana huko masalon kwenu, mara vitunguu swaum mara nini.
Ni hatari mno.
Wengine badala ya kubana hutepeta au hata kutoa harufu.
Ridhikeni dada zetu![]()
Yes dearYaan vinabana uke? Kheeeh kazi ipooo.
Mungu akusaidieAsante kwa ushauri
Nipo makini sana na afya siwezi fanya hivyo
Ahsante jirani ššNakupenda jirani mwema na mpolešš
Mkono mlaini kweli kweli
DaimaAhsante jirani šš
Na mapendo yaendelee š¤
Wanaume tunawindwa kwa hila nyingi kama pembe za ndovušYes dear
Vikaja vipipi vile tena
Hivyo sijui kama vimewasaidia
AmenMungu akusaidie
Raaaabeeeekaaaa mate!!



Maneno hayo ukiyasema kwa kiswahili ndo hautapa kitu kabisaTatizo lako
English nyingi
Sio wote tulisoma asee
Kazi ipo mbna.Yes dear
Vikaja vipipi vile tena
Hivyo sijui kama vimewasaidia





AuntieMungu akufanyie wepesi upone š
Wanaume tunaqindwa kwa hila nyingi kama pembe za ndovu![]()


Mkono laini unaweza kweli hata kuvunja biskuti?
Wanaanza kukukaanga hii wiki au j3?Raaaabeeeekaaaa mate!!
![]()